Nkaburu
JF-Expert Member
- Mar 23, 2023
- 660
- 784
Salaam Watanzania wenzangu.
Ghana imekopeshwa na Uingereza vito vya dhahabu. Jambo la kushangaza ni kwamba dhahabu hii ndiyo waliyoiiba wanajeshi wa Uingereza wakati wa vita vya Ashanti.
Tafakari: Kukopesha kunamaanisha kuwa kitu kilichokuwa, kinatarajiwa kulipwa pamoja na riba.
Kwanini Waghana wanapaswa kupata mkopo(loan) kwa Dhahabu yao wenyewe?
"Mtu anakuja kwako na kuiba, kisha anageuka na kusema, 'Unaweza kukopa" Udhalimu huu Uingereza wataacha lini?
Kwa taarifa zaidi bofya chini hapa
Ghana imekopeshwa na Uingereza vito vya dhahabu. Jambo la kushangaza ni kwamba dhahabu hii ndiyo waliyoiiba wanajeshi wa Uingereza wakati wa vita vya Ashanti.
Tafakari: Kukopesha kunamaanisha kuwa kitu kilichokuwa, kinatarajiwa kulipwa pamoja na riba.
Kwanini Waghana wanapaswa kupata mkopo(loan) kwa Dhahabu yao wenyewe?
"Mtu anakuja kwako na kuiba, kisha anageuka na kusema, 'Unaweza kukopa" Udhalimu huu Uingereza wataacha lini?
Kwa taarifa zaidi bofya chini hapa