Get well Soon my love

Get well Soon my love

asanteni kwa kunitakia hali njema naamini nitapona ila bado natumia dawa mbarikiwe sana.

afu ee Excel wewe ngoja nipone

yani nimeshangaa kweli shansarie!

sikio? how? unabembelezwa na microphone au? (kidding! lol)

pona pona kabisaaa halafu uni-pm namba yako ya M-pesa nikutumie vijisenti vya supu ya mkia wa kondoo!

Halafu kuanzia leo, mziki wako uwe ni bluz tu!... dont hurt your ears anymore!
 
yani nimeshangaa kweli shansarie!

sikio? how? unabembelezwa na microphone au? (kidding! lol)

pona pona kabisaaa halafu uni-pm namba yako ya M-pesa nikutumie vijisenti vya supu ya mkia wa kondoo!

Halafu kuanzia leo, mziki wako uwe ni bluz tu!... dont hurt your ears anymore!

tumeruka pamoja sehemu nyingi, kuanzia kwa charty hadi kwa kan'tangaze.. i never harm ur miss neddy!!
let ur service to my shansarie bn not in money side.
 
Last edited by a moderator:
Nipo dada yangu! Niko pouwa kabisa!

Tayari nimerekebisha!



Hahaaaaaa

Dada yangu na wewe umo! Khantwe wangu tu huyo!



Wifi yako anakusaidia kunipa taarifa

Mmh haya swtie...alafu.....au basi
 
Last edited by a moderator:
tumeruka pamoja sehemu nyingi, kuanzia kwa charty hadi kwa kan'tangaze.. i never harm ur miss neddy!!
let ur service to my shansarie bn not in money side.
come on meeeeen! we are close cloooooose friends! shansarie is my sister in law i never had before! you know that well...!

I never tested anything there! Ugua pole shansa.... but ukija mi lazima nikuchinjie thupu (duh! supu inachinjwa?) ya kondoo!
miss neddy upo mpenzi?

em njoo umwage kifaransa hapa..! mchana mwema!
 
Last edited by a moderator:
come on meeeeen! we are close cloooooose friends! shansarie is my sister in law i never had before! you know that well...!

I never tested anything there! Ugua pole shansa.... but ukija mi lazima nikuchinjie thupu (duh! supu inachinjwa?) ya kondoo!
miss neddy upo mpenzi?

em njoo umwage kifaransa hapa..! mchana mwema!

ha ha ha sawa mkuu!!
hadi kifaransa umo?
 
Last edited by a moderator:
yani nimeshangaa kweli shansarie!

sikio? how? unabembelezwa na microphone au? (kidding! lol)

pona pona kabisaaa halafu uni-pm namba yako ya M-pesa nikutumie vijisenti vya supu ya mkia wa kondoo!

Halafu kuanzia leo, mziki wako uwe ni bluz tu!... dont hurt your ears anymore!

acha tu kaka yangu nasikilizaga mziki sauti ya juu.sijui ndo umeniaribu sikio yaani ngoma ina pulsate kama kuna usaa linauma hadi shingo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom