Get well soon Lady Doctor!

Get well soon Lady Doctor!

Kuugua ni sehemu ya IBADA. Get well soon rafiki.

NB:
Nilitegemea taarifa hizi zitoke kwa chalii wa Arusha Arushaone. Ama umemkabithi Erickb52 akulelee?????.


Narudia tena.
Mungu akuponye na urudi tena jamvini.

Hahahahaaa nyie mnataka kumzidishia mgonjwa maumivu eeh Mzee unamtaka Mamndenyi ?
Kashindikana huyo oooh
 
Last edited by a moderator:
Kwahiyo kusema ukweli ni Majungu¿¿¿¿¿¿




Mwambie akuje huku nimpe neno la Siku.
Nivea nakuoma ukuje huku,
Hata kaka yako anajua,
Nina kupenda kama Wali,
Nivea.....
huyo huyo aliyekula posa umuoe huyo kama ulimpa baba ruksa kumuoa kama ni huyu kaka yangu Erickb52 ruksa muoe yeye mimi nipo sabatical leave namjua huyu kaka yangu vizuri anataka kunifanya cummulative sourse of income watch out Chocs please wifi mkanye huyu mumeo
 
Last edited by a moderator:
pole dada, mungu atakupa afya njema tena....
 
Pole sana Lady doctor
Lakini mmmmhhhh kisebusebu na kiroho embu nijuze Erickb52 umejuaje kabla mi sijajua kuwa mtarajiwa wangu anaumwa?
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaa
kwa kuliwa pesa kweli mnajua kujitetea,
pole sana Mzee.

......................................................
Heaven on earth.
Si kwamba najifariji. Kaka mtu ameshakula pesa zangu sana tu.

......................................................
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom