*get well soon arushaone*

Get well soon Arushaone!Tunakuombea na pokea uponyaji,katika jina lipitalo majina yote,jina la Yesu!Pokea uponyaji!
 
Last edited by a moderator:
Wakuu yaani naumwa kiasi ambacho sijawahi kuumwa maishani!! Sijawahi kupata pneumonia kabla kwa hiyo vichomi mgongoni na kifuani ni kama sindano.

Ugonjwa huu ni matokeo ya baridi kali ya tangu mwezi March hadi mwezi July mwaka huu ambayo ilikuwa kali sana, nami nilikuwa mbishi sana kuvaa nguo za baridi wakati ule.

Natumia dawa kama nilivyoandikiwa na daktari, mchana sio mbaya sana ila usiku nddio naumwa mno kupitiliza ila I know I shall overcome this.

Kutoka moyoni mwangu nachukua fursa hii kuwashukuru wote mnaonipa moyo na kunijali sana.

Shukrani za pekee kwa Lady doctor. Speechless.
 
Last edited by a moderator:

ASANTE DEAR, Mungu ni mwema atakuponya we endelea kutumia dawa kama ulivyo shauriwa na daktari..!
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa...... Sasa Mzee wa Rula unalalamika nini wakati mi ndio naishi nae so lazima niwe wakwanza kujua afya yake.

Btw karibu, leo nipo home tu namuuguza maana usiku hajalala atii.

Basi jombaaa kwa siri hajambo hata swahiba wake hanijulishi lakini asizoee kulia kizani ili kuepusha ngumu kwikwi kwikwi tehe tehe
 
Basi jombaaa kwa siri hajambo hata swahiba wake hanijulishi lakini asizoee kulia kizani ili kuepusha ngumu kwikwi kwikwi tehe tehe

mi mwenyewe hakuniambia nimemuona akigugumia maumivu ndio nikajua atakuwa mgonjwa, moja kwa moja nikachukua jukumu la kumpeleka hospital
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…