*get well soon arushaone*

*get well soon arushaone*

@Arushaone
get-well-soon74.gif

Nimeipenda hii kadi ngoja nami niugue huenda nitaambulia japo moja,,,,
 
Ugua pole mkuu Arushaone.
Kama unaweza kunywa kiloriti mzee hako kaugonjwa kana sepa mazima. Tatizo lako unapenda tu kunywa mkuyati.
 
Last edited by a moderator:
Katavi usijali;
Ninapenda kama unajua kusoma rangi za maua
hilo siyo ua kama unavyoliona lina ujumbe mahususi;

Soma rangi zake kwanza;
Wewe nitakupa rangi unayositahili
hata kama haujaugua nitakupa tu.

Nimeipenda hii kadi ngoja nami niugue huenda nitaambulia japo moja,,,,
 
Last edited by a moderator:
Aisee pole sana Arushaone kwa kuumwa Mungu atakupa nguvu jitahidi kuvaa mavazi ya kujikinga na baridi kali na zingatia dozi
 
Last edited by a moderator:
Pole sana rais na mwandaaji wa mashindano

Mungu ni mwema utapona

First lady Lady doctor polen sana
 
Last edited by a moderator:
Katavi usijali;
Ninapenda kama unajua kusoma rangi za maua
hilo siyo ua kama unavyoliona lina ujumbe mahususi;

Soma rangi zake kwanza;
Wewe nitakupa rangi unayositahili
hata kama haujaugua nitakupa tu.

Asante sana Mamndenyi kwa kunipa darasa kuhusu hii ishu,,,,,,,,sikuwa najua haya mambo ya rangi wala nini..
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom