Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,099
- 12,919
Unampa pole wakati yeye ni doctor wa kila kona?
Ha ha ha haaah!! Kumbe yeye haitaji pole.
Unampa pole wakati yeye ni doctor wa kila kona?
heeeeee.........ana alimonia!!! tafadhali zingatia sana matibabu
Lady doctor mbona hujanitaja? haya uguza pole mamito na mungu akupe nguvu na subira katika kumuuguza mpenzio. Arushaone tunza sana afya yako na get well soon!
cc cocolico .............haaa sosoliso
tunakuombea sana mkuu Arushaone, mungu wetu ni mwema utapata nafuu mapema zaidi.
asante Lady doctor kwa taarifa
yeah. jana nliongea naye. nikweli anaumwa japo kwa sasa anaendelea vizuri kidogo. pole sana shemeji yangu Arushaone. mia
Mkuu Arushaone wakati unanisms jana ulikuwa unaumwa aise
Pole sana mkuu na Mwenyezi Mungu akupe uponyaji wa haraka kuweza kurejea kwenye mihangaiko ya maisha
Pole sana mkuu na Lady doctor muuguze vyema jamaa hapo
Tupo pamoja mke mwenzangu
Ahsante sana mkuu, sijawahi kuumwa hivi hakika.
Ahsante sana mkuu, sijawahi kuumwa hivi hakika.
heeeeee.........ana alimonia!!! tafadhali zingatia sana matibabu
Lady doctor mbona hujanitaja? haya uguza pole mamito na mungu akupe nguvu na subira katika kumuuguza mpenzio. Arushaone tunza sana afya yako na get well soon!
cc cocolico .............haaa sosoliso