Habari ya Mujini
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 2,518
- 1,045
Jiandae kufanyaje?Ndio. Kituo kinaitwa jiandae
Jiandae kufanyaje?Ndio. Kituo kinaitwa jiandae
KuliwaJiandae kufanyaje?
hahahaaa na yule mmama wa chakula....kila nikienda utackia mwanangu umekuja karibu tnaHahhahahaaaa kuna yule mwenye kama kovu usoni
hii ipo mombasa c ndioExecutive lodge....kwa yusufu
Hahahaah hii safiKuna gesti moja tabata dada wa mapokezi ni mlokole..Ukienda pale kabla hajakupa funguo anaanza kukupiga gospel kwanza
mbezi mwisho-dsmhii ipo mombasa c ndio
basi zpo nyongiimbezi mwisho-dsm
Hahahaah mkuu rudi ukarekebisheNamanga Guest House,hii iko Mabibo mwisho...hahahaha hii 2008 nilivunja kidirisha cha choo nikikimbia fumanizi...Vincent kama upo humu nisamehe mkuu sikuja kurekebisha pale sehemu.