Gerson Msigwa ni Msemaji wa Serikali au Msemaji wa Ikulu?

Naomba nitolewe gizani kidogo kuhusu itifaki za mambo ya mawasiliano serikalini. Gerson msigwa hivi karibuni aliteuliwa na Rais kama msemaji mkuu wa serikali. Lkn naona bado anaendelea kusaini papers kama mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais Ikulu. Which is which hapa
Connection tu mzee ,bongo hamna kinachoshindikana 😁
 
Naomba nitolewe gizani kidogo kuhusu itifaki za mambo ya mawasiliano serikalini. Gerson msigwa hivi karibuni aliteuliwa na Rais kama msemaji mkuu wa serikali. Lkn naona bado anaendelea kusaini papers kama mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais Ikulu. Which is which hapa
Anasaini kwa niaba ya mkurugenzi wa mawasilisno ikulu
Angalia kushoto kwa saini yake Kuna mkwaju
 
Kutoka kwenye bio yake ya IG, naona ameandika yue ni former Director
Screenshot_20210504-063016.jpg
 
Kwa jinsi nilivyomuona Msigwa na ule uMC anaopenda kufanya sidhani kama anaweza kazi ya Msemaji mkuu wa serikali. Yupo kama reporter vile.
 
Jamani hebu tuacheni 'Nongwa' rejeeni katika zile 'Teuzi' za Mama baada ya kufanya Mabadiliko ilitangazwa wazi kabisa kuwa Gerson Msigwa ni both Msemaji wa Ikulu na Serikali.

Tujitahidi sana Kufuatilia Habari nchini ili tusije kuonekana ni Watu 'Wapuuzi' ambao tumekalia tu Majungu na Uswahili Uswahili tupu. Kuna Mambo yanasikitisha na Kukera pia.

Cc: tashwishwi
Shida ya wabongo inaanzia hapa kwamba kila anaueuliza kutaka ufafanuzi basi ana nongwa. Mkuu hizi ni taasisi za serikali kuuliza ili kuwa aware ni nzuri zaidi. Anagali hapa yeye mwenyewe amekiri kwamba ni former director wa ikulu. Kati ya wew na yeye nani mkweli?
2762135_Screenshot_20210504-063016.jpg
 
Unaonekana humpendi Gerson Msigwa, wala usihangaike through trend reading huyo anaonesha hana siku nyingi atatolewa kwenye hicho cheo cha msemaji wa ikulu, kuteuliwa kuwa msemaji wa serikali ni kama njia ya kuelekea kumchomoa ikulu
Hivi andiko langu linaonesha popote kwamba nina chuki?
 
Back
Top Bottom