Gerson Msigwa: Ndege nyingine 5 kufika kabla ya mwaka 2023, zimelipiwa keshi

Namsikiliza Gerson Msigwa ktk kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.

View attachment 1983658

My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Umeiona business plan ya ATCL wewe au unasema tu?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Namsikiliza Gerson Msigwa ktk kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.

View attachment 1983658

My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Kuna wajomba wanafaidika
 
Namsikiliza Gerson Msigwa ktk kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.

View attachment 1983658

My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Zililetwa zikitetea hivi sasa zinalalia, inabidi tusubiri zitotoe faida tutaiona.
 
Ni moja ya kipaumbele chao, kufufua ATCL, let them try japo wana try kwa jasho letu wa Tz wote,

Sometimes unaweza hisi labda kuna maono wameonyeshwa mbeleni huko usu NDEGE izo..

Kila Awamu ina mazuri na mabaya yake..
muda utaongea..
 
Ununuzi huu umetuvuruga akili, ni vizuri tubgejua the master plan nyuma ya nunuanunua hii
 
  • Thanks
Reactions: G4N
Huyo Mtangazaji wa hicho Kipindi popote alipo aanze Kujiandaa kwani Cheo cha ama DC au DED na hata DAS Kwake hakipo mbali kuanzia sasa. Mfikishieni huu Ujumbe wangu Muhimu Kwake tafadhali kwani GENTAMYCINE sijawahi 'Kutabiri' Jambo ( Kitu ) na kisije kutokea iwe sasa, Kesho au hata baadae.
Sababu ya kutoka nje ya ule uandishi tulioufahamu ni pamoja na mawindo ya teuzi, tulikofika ni katika kupotea🚣.
 
Namsikiliza Gerson Msigwa ktk kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.

View attachment 1983658

My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Tatizo mtoa mada huna akili, huna uelewa juu ya biashara ya ndege, nenda kafatilie mashirika Kama Emirates au Ethiopian airways yanavyoendeshwa, serikali inaona mbali, usifikirie hawana akili wanapozidi kununua ndege tu licha ya kwamba kwa saiz zinaingiza profit kidogo...
 
  • Dislike
Reactions: G4N
Namsikiliza Gerson Msigwa ktk kipindi cha the Big Agenda anasema serikali imetoa order ya kutengenezewa ndege nyingine tano ambapo zote zitakuwa zimewasili kabla ya mwaka 2023. Ameongeza kwa kusema zimelipiwa kabisa.

View attachment 1983658

My take.
Hii nchi aliyeturoga kafa. Tuna midege tuliinunua haijawahi kuzalisha hata shilingi moja halafu bado tunaagiza midege mingine.
Zilizopo zinaenda wapi? GAG amesema kwenye taarifa yake kuwa kuna hatari kubwa kwa ndege za AIR Tanzania kukamatwa ikiwa zitaruka kwenda nje kutokana na madeni makubwa, sasa tunaongeza nyingine zitaenda wapi? Kwa nini tusingeanza mazungumzo na hao wanaotudai tupunguze madeni taratibu badala ya kununua ndege mpya cash? Ni sawa na kuwa unamdai mtu shs 100,000, kila mara anakuambia hana hela, lakini unamkuta hoteli kubwa na rafiki zake wanakula na kunywa kila siku
 
  • Thanks
Reactions: G4N


Ziandikwe Hivi

  1. Kazi Iendelee
  2. SSH
  3. Sisi Tumekubali
  4. 2025 Inshaallah
  5. Awamu Ya Sita
  6. HAIJAPATA KUTOKEA
  7. COVID 19
 
Back
Top Bottom