Nop wapiga kura ni milioni 32.67,000,000 x 0.02 = 1,340,000
Hao ni wengi sana kama wakiamua kukoment๐๐๐
Kwani we Huoni watu walivyo furahi ata ingekua wewe ungefunga commentKatika ulimwengu wa leo wa kidijitali, mitandao ya kijamii imekuwa si tu sehemu ya mawasiliano, bali pia eneo la kuungana, kufarijiana na kuonesha utu wetu kwa wakati wa furaha na majonzi. Hivyo basi, tangazo la msiba wa mama wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Gerson Msigwa, limeibua mjadala mpana si kwa sababu ya taarifa yenyewe, bali kwa kitendo cha kufunga comment section mara baada ya kuiweka.
View attachment 3509564
Kwa kawaida, Watanzania hutumia majukwaa haya kumfariji anayeondokewa na mpendwa. Pole, sala na maneno ya matumaini ni sehemu ya utamaduni wetu wa kuomboleza kwa pamoja. Hivyo, kitendo cha kufunga sehemu ya maoni kimewaacha wengi wakijiuliza: Je, watatoa pole zao wapi? Ni kwa nini nafasi hiyo haikuruhusiwa hata kwa saa 24?
Wapo wanaodai kuwa Msigwa ana haki ya kulinda faragha yake na familia katika wakati huu mgumu. Lakini wengine wanasema kuwa ana nafasi ya juu serikalini, na kupitia ukurasa wake ndiyo njia pekee ambayo wananchi wengi wanaweza kufikisha salamu zao za rambirambi.
View attachment 3509565
Mjadala mkubwa ni kumbukumbu za matamshi yake ya karibuni dhidi ya vijana na wanaharakati waliopinga mauaji na ukatili unaodaiwa kufanywa na baadhi ya vyombo vya dola. Kauli ambazo zilimfanya aonekane mkali, bila kuonesha huruma kwa maumivu ya familia zilizopoteza watoto wao.
Watu wanaeleza kuwa angeacha mlango wa maoni wazi angalau kwa muda mfupi, ili Watanzania waungane naye kama ndugu na kama taifa. Kwa sasa, mjadala umebaki kuwa ni mpaka kiasi gani viongozi wetu wanathamini sauti za wananchiโhasa nyakati ambazo wanahitaji faraja kutoka kwao.
Lakini mwishowe, msiba ni msiba. Watanzania wanaendelea kumwombea nguvu, faraja na ustahimilivu. Gerson Msigwa fahamu hayo maumivu ndio watanzania wanapitia mnapoamua kuua vijana wao.
tunaenda kumwaga upupu kwa wafiwa misiba itafuruliza hawata amini macho yaoWabongo hawachelewi kwenda kuiba mwili wa marehemu ๐
Anaogopa kubanduliwa nyoro yake ya nyumaKatika ulimwengu wa leo wa kidijitali, mitandao ya kijamii imekuwa si tu sehemu ya mawasiliano, bali pia eneo la kuungana, kufarijiana na kuonesha utu wetu kwa wakati wa furaha na majonzi. Hivyo basi, tangazo la msiba wa mama wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Gerson Msigwa, limeibua mjadala mpana si kwa sababu ya taarifa yenyewe, bali kwa kitendo cha kufunga comment section mara baada ya kuiweka.
View attachment 3509564
Kwa kawaida, Watanzania hutumia majukwaa haya kumfariji anayeondokewa na mpendwa. Pole, sala na maneno ya matumaini ni sehemu ya utamaduni wetu wa kuomboleza kwa pamoja. Hivyo, kitendo cha kufunga sehemu ya maoni kimewaacha wengi wakijiuliza: Je, watatoa pole zao wapi? Ni kwa nini nafasi hiyo haikuruhusiwa hata kwa saa 24?
Wapo wanaodai kuwa Msigwa ana haki ya kulinda faragha yake na familia katika wakati huu mgumu. Lakini wengine wanasema kuwa ana nafasi ya juu serikalini, na kupitia ukurasa wake ndiyo njia pekee ambayo wananchi wengi wanaweza kufikisha salamu zao za rambirambi.
View attachment 3509565
Mjadala mkubwa ni kumbukumbu za matamshi yake ya karibuni dhidi ya vijana na wanaharakati waliopinga mauaji na ukatili unaodaiwa kufanywa na baadhi ya vyombo vya dola. Kauli ambazo zilimfanya aonekane mkali, bila kuonesha huruma kwa maumivu ya familia zilizopoteza watoto wao.
Watu wanaeleza kuwa angeacha mlango wa maoni wazi angalau kwa muda mfupi, ili Watanzania waungane naye kama ndugu na kama taifa. Kwa sasa, mjadala umebaki kuwa ni mpaka kiasi gani viongozi wetu wanathamini sauti za wananchiโhasa nyakati ambazo wanahitaji faraja kutoka kwao.
Lakini mwishowe, msiba ni msiba. Watanzania wanaendelea kumwombea nguvu, faraja na ustahimilivu. Gerson Msigwa fahamu hayo maumivu ndio watanzania wanapitia mnapoamua kuua vijana wao.
Aongelee SGR sio mambo ya kifo cha mama yake..Katika ulimwengu wa leo wa kidijitali, mitandao ya kijamii imekuwa si tu sehemu ya mawasiliano, bali pia eneo la kuungana, kufarijiana na kuonesha utu wetu kwa wakati wa furaha na majonzi. Hivyo basi, tangazo la msiba wa mama wa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Gerson Msigwa, limeibua mjadala mpana si kwa sababu ya taarifa yenyewe, bali kwa kitendo cha kufunga comment section mara baada ya kuiweka.
View attachment 3509564
Kwa kawaida, Watanzania hutumia majukwaa haya kumfariji anayeondokewa na mpendwa. Pole, sala na maneno ya matumaini ni sehemu ya utamaduni wetu wa kuomboleza kwa pamoja. Hivyo, kitendo cha kufunga sehemu ya maoni kimewaacha wengi wakijiuliza: Je, watatoa pole zao wapi? Ni kwa nini nafasi hiyo haikuruhusiwa hata kwa saa 24?
Wapo wanaodai kuwa Msigwa ana haki ya kulinda faragha yake na familia katika wakati huu mgumu. Lakini wengine wanasema kuwa ana nafasi ya juu serikalini, na kupitia ukurasa wake ndiyo njia pekee ambayo wananchi wengi wanaweza kufikisha salamu zao za rambirambi.
View attachment 3509565
Mjadala mkubwa ni kumbukumbu za matamshi yake ya karibuni dhidi ya vijana na wanaharakati waliopinga mauaji na ukatili unaodaiwa kufanywa na baadhi ya vyombo vya dola. Kauli ambazo zilimfanya aonekane mkali, bila kuonesha huruma kwa maumivu ya familia zilizopoteza watoto wao.
Watu wanaeleza kuwa angeacha mlango wa maoni wazi angalau kwa muda mfupi, ili Watanzania waungane naye kama ndugu na kama taifa. Kwa sasa, mjadala umebaki kuwa ni mpaka kiasi gani viongozi wetu wanathamini sauti za wananchiโhasa nyakati ambazo wanahitaji faraja kutoka kwao.
Lakini mwishowe, msiba ni msiba. Watanzania wanaendelea kumwombea nguvu, faraja na ustahimilivu. Gerson Msigwa fahamu hayo maumivu ndio watanzania wanapitia mnapoamua kuua vijana wao.
Hatuwezi kudhuru waombolezaji tuna deal wenye umbwa mwenyeweGen Z hawachelewi kuweka Rat poison kwenye msosi ili msiba ubambe zaidi ๐ฅ
Sasa comments million 30(98%) atazijibuje? Ili kutokuwakwaza njia pekee ni kuzima.hata