si ni miongoni mwa wale vijana uliosema wamelelewa na kukuzwa kisiasa na mwamba tuvushe.Unamjua Mhariri mkuu wa Tanzanite Habib Mchange na historia yake ya kisiasa?
Ambae ndo mkaamua bora mumchukue nyie 🤣🤣🤣🤣🤣Kuna clip ya video inatambaa kwa kasi ikimuoesha mkurugenzi wa habari maelezo Ng ,Gerson Msigwa akisema kuwa hawakulifungia gazeti la Tanzanite linalomilikiwa na msiba kwa kuhapisha habari za uongo kuhusu mkuu wa chama cha ACT wazalendo Zito kabwe na aliyekuwa makamu wa kwanza wa urais seifu sharifu Hamad kujihusisha na ushoga kwa kumgomania mtu anayejulika Kama sufiani Juma ( ni member wa jf)
Video hiyo imezua utata kwa kuwa mzigwa anasema gazeti hilo lilithibitisha (nitaiweka hapa soon ) kuwa ishu ya ushoga ilikuwa kweli
View attachment 1944504
Huyu musiba ivi ameshamlipa fidia Fatma Karume zile bilioni 3.7 za kumchafua amabazo Mahkama kuu kule Zanzibar ilimtia hatinai kwa kuchapisha habari za uongo?
Huyu msigwa ni kiazi kweli, iq yake ndogo sanaKuna clip ya video inatambaa kwa kasi ikimuoesha mkurugenzi wa habari maelezo Ng ,Gerson Msigwa akisema kuwa hawakulifungia gazeti la Tanzanite linalomilikiwa na msiba kwa kuhapisha habari za uongo kuhusu mkuu wa chama cha ACT wazalendo Zito kabwe na aliyekuwa makamu wa kwanza wa urais seifu sharifu Hamad kujihusisha na ushoga kwa kumgomania mtu anayejulika Kama Suphian Juma ( ni member wa JF)
Video hiyo imezua utata kwa kuwa mzigwa anasema gazeti hilo lilithibitisha (nitaiweka hapa soon ) kuwa ishu ya ushoga ilikuwa kweli
View attachment 1944504
Tazama video:
View attachment 1944666
Kwenye hivyo vyuo na wewe ulisoma huko?Mimi hata sishangai. Waoneni tu watu kwa nje, lakini yale wanayoyafanya wakiwa vyumbani mwao ni mazito mno.
Kuta za vyumba zingekuwa zinaongea watu wengi sana wangeumbuka.
Mbona kodi wanazokusanya Zanzibar kupitia TRA haziishii Chumbe zinatua ardhi ya Tanganyika na kuwasaidieni kwa shughuli zenu za maendeleo yenu ya kujenga barabara, flyover, madaraja, mishahara na maposho mbali mbali lakini pia chakula chenu cha kila siku.,Musiba kasema hawezi kumlipa kwa sababu hajawahi kuuza gazeti Zanzibar.
Kumbuka mahakama za Zanzibatr hazina jurisdiction over raia na makampuni ya Tanganyika yakiwemo magazeti.
Mahakama sio jambo la Muungano, isipokuwa Mahakama ya Rufaa tu. Na Musiba hawezi kujipeleka Mahakama ya Rufaa kwa saab hana cha kuogopea hukumu ambayo haina nguvu kisheria juu ya Mtanganyika. Na Fatuma hawezi kuipeleka kesi Mahakama ya Rufaa kwa saab yeye ndo kashinda kesi.
Tatizo litakuja siku Musiba kajipeleka Zanzibar na kujenga hoteli au kupata mwanamke (faida za muungano tunaambiwa) na kumpa Toyota IST iliyo katika jina Musiba. Atakuwa amewapa Zanzibar Voluntary Jurisdiction ya kukaza hukumu na kukomba mali zake ndani ya Zanzibar.
Again, hukumu za Zanzibar mwisho Chumbe Kisiwani, ambapo Abedi Karume alisema ndo mpaka wa Tanganyika na Zanzibar.
Mimi nasema mwandishi wa Star TV amembana vilivyo huyo Msigwa mpaka akapaniki. Alitumia mfano mzuri sana wa gazeti la Tanzanite kwa kuripoti ushoga na hakuna chochote kilichofanyika, na ndiyo maana alibaki katoa macho tuu...Umeandika kinafiki na Kilumumba sana. Pamoja na hoja dhaifu za Msigwa juu ya kulifungua Gazeti la Raia Mwema hajasema Tanzanite walithibitisha bali katumia neno HUENDA walithibitisha....
Vipi na wewe umeshawahi kupakatwa mkiwa chobingo?Umeelewa nilichomaanisha au umejisikia tu kuropoka?
Labda nikuulize :
Wewe ni mangapi ya aibu unayofanya kwa siri ukiwa chumbani mwako??
My point is, sisi Wanadamu bila ya kujali vyeo vyetu au hadhi yetu mbele ya jamii lakini tuna tuna siri nyingi zilizofichika. Hivyo siyo ajabu kusikia Zitto na Maalimu waligombea shoga.
Hivi 40 ya kada mwenzenu Hamza ni lini vile??Ufipa kuna mambo ya ajabu sana!
Utaalikwa tu ikigika usitie shaka!Hivi 40 ya kada mwenzenu Hamza ni lini vile??
Huyu alikuwa masalia na alifukuzwa na akina Shonza.Aliuza ubunge Kibaha kwa Koka.Ni msaliti Kama wengine,alikimbilia ACT wazalendo baadaye akajiunga CCM.Unamjua Mhariri mkuu wa Tanzanite Habib Mchange na historia yake ya kisiasa?
Huyu hapaHivi 40 ya kada mwenzenu Hamza ni lini vile??
Huu ushuziKuna clip ya video inatambaa kwa kasi ikimuoesha mkurugenzi wa habari maelezo Ng ,Gerson Msigwa akisema kuwa hawakulifungia gazeti la Tanzanite linalomilikiwa na msiba kwa kuhapisha habari za uongo kuhusu mkuu wa chama cha ACT wazalendo Zito kabwe na aliyekuwa makamu wa kwanza wa urais seifu sharifu Hamad kujihusisha na ushoga kwa kumgomania mtu anayejulika Kama Suphian Juma ( ni member wa JF)
Video hiyo imezua utata kwa kuwa mzigwa anasema gazeti hilo lilithibitisha (nitaiweka hapa soon ) kuwa ishu ya ushoga ilikuwa kweli
View attachment 1944504
Tazama video:
View attachment 1944666
Vyuo gani tena ndugu??Kwenye hivyo vyuo na wewe ulisoma huko?