PostGE2025 Gerson Msigwa asema ataitolea ufafanuzi documentary ya CNN

PostGE2025 Gerson Msigwa asema ataitolea ufafanuzi documentary ya CNN

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,286
Reaction score
10,831
"Serikali imefuatilia makala iliyochapishwa muda mfupi uliopita na chombo cha habari cha CNN kuhusu matukio ya tarehe 29 Oktoba, 2025 na siku zilizofuata.Tunachambua na kuhakiki maudhui yaliyomo katika makala hiyo na tamko la Serikali litakuja baada ya kukamilika kwa uhakiki huo". Serikali ya Tanzania kupitia kwa Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali.
1763721831373.png
 
Si awapigie simu ili wamuhoji na yeye aingie kwenye documentary ?

Hawa jamaa wamefikia level kubwa sana za Ujuha....; Wangetumia huo muda kuomba radhi waliofiwa au kama vipi na Wananchi nao wapewe Msemaji wao... (Media mshazinunua kwahio mtuachie kina CNN)
 
Ukikaa kimya utaonekana mjinga ila utaepusha mengi
Kuhusu kaburi la halaiki uwongo aisee,picha za chini pale makaburini zinaonesha kuna nguzo za zege kuonesha mpaka wa kiwanja,hivi wanaweza zika mamia kwenye kiwanja cha mtu?
 
Back
Top Bottom