Germany Will Return 'Dinosaur' Remains To Tanzania

Wamarudishe Dayanasori wetu.

Ni sahihi mkuu. ila kuna maeneo mawili tofauti. huyo wa ujerumani ni yule alipatikana lindi na tayari alishahojiwa bungeni lakn kuna hao wengi zaidi waliopatikana ziwa nyasa haieleweki walipelekwa wapi
 
Ni sahihi mkuu. ila kuna maeneo mawili tofauti. huyo wa ujerumani ni yule alipatikana lindi na tayari alishahojiwa bungeni lakn kuna hao wengi zaidi waliopatikana ziwa nyasa haieleweki walipelekwa wapi

du kumbe kwa wazee wa gesi! patachimbika
 
Kinachofanya mtake mjusi arudishwe ni kukosa kwenu taarifa sahihi tu.

Ili kumtunza mjusi kuna taaluma na gharama zinazohusiana.

Mnayo bajeti ya kumtunza mjusi?
Mnayo technical know how ya kumtunza mjusi.

Mjusi yuko Berlin pale. Wajerumani wameandika kuwa mjusi katoka Tanganyika. Hakuna wizi hapo.

Kinachotakiwa ni ushirikiano na wajerumani katika kumtumia mjusi kuitangaza Tanzania sio mpaka mjusi awe physically nchini.

By the way, pale Berlin mjusi anaonwa na watu wengi kuliko iwapo angekuwa Bongo. Kwahiyo mjusi anaitangaza vizuri zaidi Tanzania akiwa Berlin.

Vilevile tafiti zinaonyesha mijusi wengine wapo Lindi chini ya ardhi. Ebu tufikirie kuwachimba hao walio ardhini kabla hatujamlilia aliyetafutwa na wajerumani na kuchimbwa na vibarua watanganyika (hawa vibarua picha zao zipo pale Berlin).
 
Na Nyie redusheni meli yao MV Liemba maana mnapiga hela hadi leo... Mla huliwa...

Weka Picha
 
Fukua wengine wapo wengi tu halafu tuone utafaidika na nini? Hapo huna hoja unafikiri angekuwa hapa ungemuweka wapi let me think labda barabarani au kwako unaonaje
 
Lini Ujerumani Watarejesha Mabaki ya Mjusi Mkubwa (Dinosaur) Wetu.

1.Wadau suala hili lilizungumzwa sana miaka michache iliyopita na kulikuwa na dalili nzuri. Lakini ni muda mrefu sasa sijaskia lolote huku hawa jamaa wakiendelea kupiga hela kwa mjusi wetu huyu.

2.Nimefatilia historia ya mijusi hawa na kuona kumbe kuna mabaki mengine mengi zaidi ya wadudu hawa walioishi zaidi ya miaka milioni 240 iliyopita yalipatikana maeneo ya ziwa nyasa (nyasasaurus) lakini haijaelezwa mabaki yao yalipelekwa wapi na km nchi tunafaidika vipi.

Naona km taifa tunapoteza pesa na historia ya nchi kirahisi hivi.Mwenye ufahamu wa haya mambo msaada pls.

hebu tudai mambo ya msingi,,,tuna viumbe wengi hai ambao kwenye utalii wana tija na faida wanapiga watu ndo iwe mabaki????tuhangaike na tembo wetu na twiga wetu walio hai,hao wajeruman wenyewe wanaacha mabak ya mjus wanakwenda mikumi
 
Kinachofanya mtake mjusi arudishwe ni kukosa kwenu taarifa sahihi tu.

Ili kumtunza mjusi kuna taaluma na gharama zinazohusiana.

Mnayo bajeti ya kumtunza mjusi?
Mnayo technical know how ya kumtunza mjusi.

Mjusi yuko Berlin pale. Wajerumani wameandika kuwa mjusi katoka Tanganyika. Hakuna wizi hapo.

Kinachotakiwa ni ushirikiano na wajerumani katika kumtumia mjusi kuitangaza Tanzania sio mpaka mjusi awe physically nchini.

By the way, pale Berlin mjusi anaonwa na watu wengi kuliko iwapo angekuwa Bongo. Kwahiyo mjusi anaitangaza vizuri zaidi Tanzania akiwa Berlin.

Vilevile tafiti zinaonyesha mijusi wengine wapo Lindi chini ya ardhi. Ebu tufikirie kuwachimba hao walio ardhini kabla hatujamlilia aliyetafutwa na wajerumani na kuchimbwa na vibarua watanganyika (hawa vibarua picha zao zipo pale Berlin).

....ujangili umezidi Tanzania si ajabu akiletwa majangili yatampora !!!!
 
Haya ndo mambo ya kutetea. Kule mjengoni kimya . Wao ni mungano serikali sijui ngapi ngapi, yasokuwa hata maana wanaacha vitu vya uchumi kama hivi.
Nakupongeza sana sana kukumbuka mali ya taifa lako.
Sasa tutazame viongozi wangapi watatetea mali asili kama hizi, wao twiga tu basi
 
Hii ndo sera yetu kuchangia mada ni kulalama na kubeza. Mm na wewe tunapita tukipe elimu kizazi kijacho kijekutawala uchumi wao.
Mao wa china hayupo lakini hii leo wachina wanafaidi. Kila kilicho asisiwa na viongozi wote wa china wakiongozwa na mao.
 
Tembo wanaisha we unaongelea mjusi ambaye alishapotea miaka mingi iliyopita!Tuanze kuwalinda hao waliopo kwanza ndipo tujadili huyo mjusi.
 
mimi sijawahi jua kama mafuvu yale ya dinosaur kule ujerumani yalitoka hapa bongo. hata kuwahi kusikia redioni, ila najua mafuvu hayo yapo. ninachoshukuru kwenye hii thread nimejifunza hicho
 
Kinachofanya mtake mjusi arudishwe ni kukosa kwenu taarifa sahihi tu.

Ili kumtunza mjusi kuna taaluma na gharama zinazohusiana.

Mnayo bajeti ya kumtunza mjusi?
Mnayo technical know how ya kumtunza mjusi.

Mjusi yuko Berlin pale. Wajerumani wameandika kuwa mjusi katoka Tanganyika. Hakuna wizi hapo.

Kinachotakiwa ni ushirikiano na wajerumani katika kumtumia mjusi kuitangaza Tanzania sio mpaka mjusi awe physically nchini.

By the way, pale Berlin mjusi anaonwa na watu wengi kuliko iwapo angekuwa Bongo. Kwahiyo mjusi anaitangaza vizuri zaidi Tanzania akiwa Berlin.

Vilevile tafiti zinaonyesha mijusi wengine wapo Lindi chini ya ardhi. Ebu tufikirie kuwachimba hao walio ardhini kabla hatujamlilia aliyetafutwa na wajerumani na kuchimbwa na vibarua watanganyika (hawa vibarua picha zao zipo pale Berlin).

nakumbuka kuna wakati kulikuwa na tetesi kwamba hao wajerumani walikuwa wanadai pia fidia ya gharama ya kumhifadhi huyo mjusi! hapo ilibidi serikali ipige kimya na kuwa wanyonge.

hata hivyo naamini ni suala la nchi yetu kushindwa kutumia nafasi ya mjusi kuwa huko ujerumani, mfano serikali inashindwa nini kulink huyo mjusi na sehemu/eneo alilopatikana? watalii wanaweza vutiwa kuja "site" ambayo huyo mjusi alipatikana iwapo promo nzuri ikifanywa.
 
Back
Top Bottom