Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,621
- 27,567
Ndio ushangae sasa ,,unajua tatizo nini ni wengi hawajui pa kuvipata ndio maana unaona wanaona bold anajua ,wakati nae kuna sehemu kavitoa na hajatoa credit wala source,eti kitu kikiletwa tu humu umeiba kwa bold wakati vitu vimo mtandaoni na sio kwamba kaviweka yeye nae kavikuta,watu waache ushamba na wajifunze, kuna huyu Ontario ye anaandika kabisa mwenyewe toka kichwanii na vitu vingi anatoa vyq kunufaisha mfano uzi wa forex ,,Wanatoa tu mapovu mengi yasiyo na msingi au sijui fikra finyu kuna wengine hawajui km uzi anao upost ulishapita humu
Kingine km unavyosema hii story kwa humu haina mwenyewe si nani wala cha nani kila mtu kanyapia mahali ndo kuipost,niliona hii kitu channel ya Discovery history kwa picha na videos documentary nzima sasa ile sijui ilikopiwa humu!!!??
Haiwezekani mtu amwibie mtu uzi humu aupost tena humu humu,huyu labda ni wa juzi tu jf au hajui km hii nyuzi ilishawahi kupita humu....yani wengine wanamsakama bure jamaa ka copy uzi ili sijui tuwajue km mpo so active
Acheni watu walete vitu sio kila mtu kamkopy huyo bwana nae mkopiji mzuri tu