BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,490
Baada ya shambulio la mauaji ya Mastermind wa September 11 the only and one Osama Bin Laden aliyekuwa tishio kwa Marekani wataalamu wa uchunguzi walienda extra mile kukagua vitu vyake hususani electronic devices.
Kwenye Harddisk zake walikuta email za kimkakati alizokuwa akiwasiliana na kutoa order kwa watu wake, video zilozorekodiwa zikionyesha mazingira ya alipokuwa akiishi kwa siri, video za katuni na video za ngono.
Video za ngono wataalamu wanashindwa kuhitimisha kuwa video hizo za ngono zilikuwa zikitizamwa na Osama Bin Laden wanatoa suggestions inawezekana kuwa watoto wa Osama Bin Laden ndio walikuwa wakitazama hizo video na hii ni kutokana na personality na misingi ya dini aliyokuwa nayo Osama.
Mtazamo wangu katika information age ni ngumu sana kumtenganisha mtu na sexual contents.
Kwenye Harddisk zake walikuta email za kimkakati alizokuwa akiwasiliana na kutoa order kwa watu wake, video zilozorekodiwa zikionyesha mazingira ya alipokuwa akiishi kwa siri, video za katuni na video za ngono.
Video za ngono wataalamu wanashindwa kuhitimisha kuwa video hizo za ngono zilikuwa zikitizamwa na Osama Bin Laden wanatoa suggestions inawezekana kuwa watoto wa Osama Bin Laden ndio walikuwa wakitazama hizo video na hii ni kutokana na personality na misingi ya dini aliyokuwa nayo Osama.
Mtazamo wangu katika information age ni ngumu sana kumtenganisha mtu na sexual contents.