George Bush amlaumu Putin kwa kuivamia 'IRAQ' kijeshi kwa uonevu pasi na haki

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Dec 27, 2019
2,920
15,609
George Bush kamlaumu vikali rais Putin wa Russia akisema kuwa Putin kaivamia Iraq kijeshi kwa uonevu tu pasi na sababu yoyote ya msingi...

Bush aliposhtukia kuwa anaongea mambo ya ajabu aliyoyafanya yeye mwenyewe Iraq, akacheka kwa kuchapia kisha akasingizia uzee wake.

Mwaka huu tutaona mengi aisee...Kumbe Bush anaendelea kuteseka na damu za waIraq
======

SmartSelect_20220519-060455_Chrome.jpg
 
George Bush kamlaumu vikali rais Putin wa Russia akisema kuwa Putin kaivamia Iraq kijeshi kwa uonevu tu pasi na sababu yoyote ya msingi...

Bush aliposhtukia kuwa anaongea mambo ya ajabu aliyoyafanya yeye mwenyewe Iraq, akacheka kwa kuchapia kisha akasingizia uzee wake.

Mwaka huu tutaona mengi aisee...Kumbe Bush anaendelea kuteseka na damu za waIraq
======

View attachment 2230157
Damu za watu alio waua iraq bila sababu zinamlilia.
 
Back
Top Bottom