Mandla Jr.
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 3,099
- 630
ASKOFU na Nabii George David ?€˜Geordavie?€™ wa Kanisa la Geordavie Ministry ?€˜Ngurumo ya Upako?€™ lililoko jijini Arusha na Kawe, Dar. Kwa sasa ndie anaaminika kuwa ndiye Askofu mwenye utajiri mkubwa na Ulinzi wa hali ya juu, Kuna watu wengine wamefananisha ulinzi wake kama wa Viongozi wa juu serikalini.
Mbali na kulindwa na walinzi wake binafsi pia hulindwa na Polisi (FFU) ili kumhakikishia amani na ulinzi wa kutosha kila
mahali anapokuwa. Waumini wake wengi wanapata wakati mgumu kumuona na kuongea nae kwasababu ya ulinzi huu
mkali alio nao huyu askofu.
Mbali ya kuwa na chopa iliyokuwa ikiimarisha ulinzi ambayo ameinunua hivi karibuni, askofu huyo alikuwa na msururu wa magari yenye thamani kubwa yanayomfanya kutajwa kuwa tajiri kuliko maaskofu wengine wanatoa huduma katika makanisa ya kiroho Tanzania.
Akiwa Karatu, mbali na ulinzi binafsi, Geordavie alikuwa akilindwa na askari wa jeshi la polisi, askari kanzu, Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) na wale wa usalama barabarani.
Mbali na kulindwa na walinzi wake binafsi pia hulindwa na Polisi (FFU) ili kumhakikishia amani na ulinzi wa kutosha kila
mahali anapokuwa. Waumini wake wengi wanapata wakati mgumu kumuona na kuongea nae kwasababu ya ulinzi huu
mkali alio nao huyu askofu.
Mbali ya kuwa na chopa iliyokuwa ikiimarisha ulinzi ambayo ameinunua hivi karibuni, askofu huyo alikuwa na msururu wa magari yenye thamani kubwa yanayomfanya kutajwa kuwa tajiri kuliko maaskofu wengine wanatoa huduma katika makanisa ya kiroho Tanzania.
Akiwa Karatu, mbali na ulinzi binafsi, Geordavie alikuwa akilindwa na askari wa jeshi la polisi, askari kanzu, Askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia (FFU) na wale wa usalama barabarani.