Nahisi ni tapeli(GOD forgive me),imeandikwa siku za mwisho watajitokeza manabii wengi wa uongo,i think na ye ni mmoja wapo
You have to believe what you saw for your own eyes!!Mkuu kwa maelezo uliyotoa na jinsi uyu mtu alivyo ni vilevile, nayasadiki 100%...ngoja nisiongeee hapa
Ktk kusoma kwangu kote Bible from Genesis to Revelation sijawahi ona utumbo kama huu
Bro pumba ni zipi kati ya mtu atupaye dhahabu mjini na yule alokotaye na kuitumia kwa manufaa yake??
Mkuu ulokole si Unafiki ila tu Umevamiwa na wafanyabiashara wa injili Feki na watu wanafiki
You have to believe what you saw for your own eyes!!
Kwani shida iko wapi!!
Huyu mchungaji mwanae ndo director wa video za kibongo anaitwa nisher.
Huyu jamaa ni kiongozi wa kanisa la Ngurumo ya Upako, makao yake makuu yako Kisongo Arusha. Nasikia alianza uchungaji kimasikini tu, mara akaibukia tu sijui alipata upako wapi. Siku hizi ana ulinzi kama wa rais. Ila ameshagombana na mkewe, ndoa imemshinda.
Ni baba wa dairektaaa wa.Video.za ubongo wa fleva kijana NISHER alie tengeneza video.za nyimbo kama Nje ya box (weusi) Chuna buzi (she roll it) nanyingine nyingi...mtoto hana habari na uchungaji wa baba yake ...mtoto ni kondoo mbishi na hataki kuchungwa...Mzee ana miliki helcopta mbili yani kiufupi ni bilionea achana na hawa Wa Hazabe mzee wa hummer na yule kidumu wa mbasha
Mi najua anaitwa his exellency honorable baba geo davie the prophet ngurumo ya upako. Sasa kama dk imeongezeka atakua anaitwa his exellency honorable baba dr geo davie the prophet ngurumo ya upako.
Mi najua anaitwa his exellency honorable baba geo davie the prophet ngurumo ya upako. Sasa kama dk imeongezeka atakua anaitwa his exellency honorable baba dr geo davie the prophet ngurumo ya upako.