Geor Davie ni nani?


Nilisikiliza mahubiri yake nikazima redio kwa haraka maana nilihisi ni shetani anahubiri....

Nafikiti kadiri siku zinavyokwenda huyu jamaa atajita mungu....

Kanisa lake ila linaanza kufa taratibu..
 

Mkuu kwa maelezo uliyotoa na jinsi uyu mtu alivyo ni vilevile, nayasadiki 100%...ngoja nisiongeee hapa
 

Ktk kusoma kwangu kote Bible from Genesis to Revelation sijawahi ona utumbo kama huu, ushabiki ni mbaya, unaacha kushabikia maneno mema ya Mungu unamsingizia Mungu kufanya ujinga huu, wakat ni tamaa ya miili yenu ninyi wanadamu, Nasema OLE wako!!Tena na Utubu maana na uhakika Mungu hawezi fanya iyo pumba
 

Mkuu ulokole si Unafiki ila tu Umevamiwa na wafanyabiashara wa injili Feki na watu wanafiki
 
Nahisi ni tapeli(GOD forgive me),imeandikwa siku za mwisho watajitokeza manabii wengi wa uongo,i think na ye ni mmoja wapo
 
NABII MKUU DR. GEORDAVIE ni nabii wa MUNGU anae fanya huduma yake ya kinabii nchini Tanzania , makao makuu yako (KISONGO) ARUSHA
Kuna watu wanasema eti ni anatumia nguvu za giza huo ni uongo kabisa.Anafundisha neno la MUNGU mfano (KUENENDA NA VIWANGO VYA SERIKALI. TUKUFU VYA UFALME WA MUNGU) pia anafungua watu weye vifungo mbalimbali ikiwemo magonjwa majini nk.Pia yeye ndie NABII WA KWANZA TANZANIA KUKEMEA WAGANGA WA KIENYEJI NA WACHAWI.
WENYE MATATIZO YOYOTE NGURUMO YA UPAKO NDIO JIBU LAKO YANI NI MANENO MACHACE KAZI KUBWA ZAIDI!
 
Kwa wale msiojua,Mheshimiwa Baba Nabii Geor Davie Ngurumo ya Upako anaonekana channel teni kila jumanne sa 2 usiku.

Karibu umuangalie msemaji wa serikali ya Mungu duniani karne ya 21.. Tanzania tumebalikiwa,Mungu anasema na dunia kutokea hapa kwetu Tanzania.

 
Hivi kuna umuhimu gani wa kuunganisha his Excellency na honorable kwa pamoja?


Huyo uheshimiwa kautoa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…