Geor Davie ni nani?

hivi huyu jamaa mbona hasikiki tena ??

Ww ndo husikiki,yupo Ariusha Kisongo,ukitaka kuijua radio ya huduma inaitwa Ngurumo ya Upako Fm,na Ikulu yake iko Njiro..any question???na huduma yake Tawi la Dar ipo Kawe Tanganyika packers,Morogoro,Moshi,Babati,Mwanza..una swali lingine???
 
Ww ndo husikiki,yupo Ariusha Kisongo,ukitaka kuijua radio ya huduma inaitwa Ngurumo ya Upako Fm,na Ikulu yake iko Njiro..any question???na huduma yake Tawi la Dar ipo Kawe Tanganyika packers,Morogoro,Moshi,Babati,Mwanza..una swali lingine???

Haa hivi hadi ikulu anayo ?? Kitu gani kinamfanya awe na atembee na walinzi binafsi wakati yeye ni mtumishi wa Mungu ? Yesu mwenyewe hakuwa mtu mwenyekupenda makuu hata kidogo . Why geor devie ?
 
HII NDIO JAMII FORUM KUNA WATU WANAJUA KULIKO UNAVYOFIKIRI....SAFI MKUU NGONGO HESHIMA KWAKO.

Sent from my GT-N7000 using Tapatalk 2
 
Daaah....! Yaani ni rahisi kweli kutajirika kwa mgongo wa Yesu kupitia Wagalatia !
Sasa hivi wamegawa kanisa yeye na mshikaji wake !

Niulizeee........kwanini wateja wengi ni wanawake ?
 
Ww ndo husikiki,yupo Ariusha Kisongo,ukitaka kuijua radio ya huduma inaitwa Ngurumo ya Upako Fm,na Ikulu yake iko Njiro..any question???na huduma yake Tawi la Dar ipo Kawe Tanganyika packers,Morogoro,Moshi,Babati,Mwanza..una swali lingine???

Umo kwenye kamati ya kukusanya bahasha nini !?
 
Huyu jamaa alivuma sana palw A town ila kuna skendomoja ya mke wa mtu ilimwalibia h
Toka hapo hajainuka tena umaarufu ukapungua na waumini wake wakapungua sijui sasa make nina mwaka na nusu sijatia mguu AT. Ila enzi zake du alikua Mungu mtu
 
Lord have mercy on us sinners!! Puuuuuuuuuuu, inahuzunisha sana!
 
Huyu ndugu jina lake halisi ni George David Kasambale ni mwenyeji wa Singida mi nlianza kumfahamu miaka ya tisini alikuwa tarishi pale world vision, Arusha alikuwa pia mwanamziki wa nyimbo za injili ktk mikutano mbalimbali na alikuwa anasali ktk kanisa la Siloam Gospel Assembly lililokuwa linasali ktk shule ya msingi Uhuru Arusha.

Kwa kipindi hicho mi nlikuwa mwanafunzi wa primary tulikuwa tunamuita Nyakizanya kwa sababu ya wimbo wake maarufu ''Nyakizanya umeokoka'' ila alikuwa kijana wa kipindi kile na alikuwa ana mambo yake ya ujana ka kuvaa mabagi na kunyoa pushback kitu kilichomfanya asikubalike na wachungaji wengi wa kiroho hapa Arusha.

Si kumsikia tena hadi miaka ya kuanzia tisini na sita hivi alikuwa na studio ya nyimbo za injili iliyoitwa supreme na baadae ikawa radio station ila ilikuwa inasikika baadhi ya sehemu za Arusha. Ila kutokana na ujanja ujanja wake na ambitions yake aliweza kukutana na wazungu na kufungua kituo cha watoto wa mitaani ingawa alikuwa anao ka watano hivi wa kuzugia.

Kituo hichi kilikuwa majengo karibia na Sacon Opposite na kanisa la KKKT Burka, baadaye alihamia Kisongo baada ya kuwa na fedha, aliwaondoa wale watoto kwa namna mbaya sana mmojawapo ni rafiki yangu ni fundi TV, ndio ghafla tukasikia Nabii GeoRDavie, kanisa lake liko kisongo mnadani na ofisi zake ziko huko ktk mashamba yake maarufu ka ''mji wa Daudi'' kwa kweli huduma yake imejaa contrervasial saana maisha yake pia yana utata.

Means jinsi anavyiobehave pamoja na family life yake kwa ujumla watu wanaomfahamu tangu kitambo hawamuelewi. Ila hatuwezi kusema sana tusije tukakufuru ila kwa upande wangu mmhh.

Simkubali na hii ni kutokana na matunda yake yaani tabia huwezi kuwa na upako kiasi hicho afu matendo ni design ka yake ila sijui? Siwezi sema ni mtume wa Mungu au la ila kuna maswali mengi sana kuliko majibu.

Ahsante mkuu.....Huyu jamaa alikuwa Tishio hapa Arusha, watu walikuwa wanamiminika kama siafu huko Kisongo...

Ila sasa hivi kachuja ile mbaya karibu ataikimbia Arusha..
 
Mkuu uliyosema ni ukweli kabisa, mi nipo Arusha Majengo so jamaa namjua sana, alikataa jina la Kasambale coz wazungu walikuwa wanapata shida kulitamka, sasa hivi hana nguvu sana na kusanyiko lake kwa sasa ni ukiwa mtupu.... hana watu..!!! waliokuwa wana msaidia huduma wametawanyika na kufungu huduma sehemu mbalimba kisa ni jamaa kula wake za watu... kuna jamaa mmoja hapa sakina ni dereva wa tours (jina ninamwifadhi) amechukuliwa mke na huyu Geor Devil... mke wa jamaa alikuwa msaidizi wake.......

Hapo kwenye " Geor Devil"........Khaaaaa
 
Mtu anaijisifu mno! Mpaka watu wahisi kuna walakini, Siku moja nilisikia akisema wachungaji wengne wakitaka kuwa na watu kama yeye ni lazima wafanye miujiza.
 
Ni msanii mmoja anajiita nabii anaedanganya watu hasa hasa wanawake yupo kisongo arusha na kwa sasa anajiita vyeo karibu vyote humu duniani kama mtume, mstaiki, muheshimiwa, nabii, baba, doctor, muashamu na unapomtaja unatakiwa uanze na vyeo ivyo vyote ndo utaje jina lake
 
Ni msanii mmoja anajiita nabii anaedanganya watu hasa hasa wanawake yupo kisongo arusha na kwa sasa anajiita vyeo karibu vyote humu duniani kama mtume, mstaiki, muheshimiwa, nabii, baba, doctor, muashamu na unapomtaja unatakiwa uanze na vyeo ivyo vyote ndo utaje jina lake

Mkuu nataka kufanya Ka-utafiti kadogo kwann wanawake ndo wanakuwa wahanga wa hawa matapeli wa Wokovu...Makanisa kanjanja yote 90% ni Wanawake....
 
View attachment 38938
H. E. Hon. GeorDavie with the 1st. Lady Anna as they are entering the Arusha Stadium during the Historical Healing Crusade in Nov. 19 - 21, 2010

Hakuna dini hapo,Yesu hakuwahi kuwa na utukufu kama waigizaji hawa,hapo ni biashara kwa kwenda mbele,wananeemeka kwa kuwanyonya waumini,ama kweli hawa wanaojiita watumishi wa Mungu si watumishi wa Mungu bali ni watumishi wa shetani na mapepo
 
Ni msanii mmoja anajiita nabii anaedanganya watu hasa hasa wanawake yupo kisongo arusha na kwa sasa anajiita vyeo karibu vyote humu duniani kama mtume, mstaiki, muheshimiwa, nabii, baba, doctor, muashamu na unapomtaja unatakiwa uanze na vyeo ivyo vyote ndo utaje jina lake

Mkuu kwasasa ana Makadinali nafikiri karibia atajiita Papa Geo davie.....
 
Back
Top Bottom