Genocide denial: Rwandans take the fight beyond borders

Genocide denial: Rwandans take the fight beyond borders

kwa hiyo source ni Rusesabagina? lol... Huwezi kuwekahabari inayoleta madai kuhusu marekani halafu ukaficha kuwa imeandikwa na Northkorea.
Matokeo yake tutapoteza muda kusahihisha "makosa" kumbe mwandishihakukosea alikuwa anajua anafanya nini.
Wewe kwa nini unakwepa kuweka link ya huko ulikoitoa?

kweli jMali wee ni mtu wa ajabu sana, sasa ulitegemea Rusesabagina na jamaa waliye gawana mshiko wasemeje?

source ni director wa movie, sio rusesabagina. Does it matter kama aliyosema yamewekwa kwenye website ya rusesabagina? Haya tuyaangalie hapa kwenye WASHINGTON POST ili uwe na uhakika.

"When the film was released, Rusesabagina was acknowledged as a hero not just by ordinary people across the United States and Europe but also by diplomats, politicians, journalists and Rwandan officials in diplomatic posts here. Rwandan expatriates gave testimony to the veracity of the film, as did people who had been in the hotel and who tearfully acknowledged Rusesabagina's role.

Last May I had the chance to meet Rwandan President Paul Kagame in Rwanda. I sat beside him as he and his wife and most of Rwanda's parliament watched the movie. Afterward he leaned over to me and said the film had done much good around the world in exposing the horrors of the genocide. The next evening, I screened the film at Amahoro Stadium for some 10,000 people. It was the most emotional screening I have ever been at. I spent close to an hour afterward accepting thanks and congratulations. "

source: Terry George - Smearing a Hero

Please zingatia mambo ya muhimu kama:
1. Kagame aliangalia filamu hii with the director
2. Filamu ilionyeshwa Amahoro stadium.
3. that 1 and 2 above had no problem until rusesabagina started politics

cc: Bongolander
 
tatizo ni pale alipo nogewa akasahau ni movie na sio true story kama anavyotaka iwe...
 
source ni director wa movie, sio rusesabagina. Does it matter kama aliyosema yamewekwa kwenye website ya rusesabagina? Haya tuyaangalie hapa kwenye WASHINGTON POST ili uwe na uhakika.

"When the film was released, Rusesabagina was acknowledged as a hero not just by ordinary people across the United States and Europe but also by diplomats, politicians, journalists and Rwandan officials in diplomatic posts here. Rwandan expatriates gave testimony to the veracity of the film, as did people who had been in the hotel and who tearfully acknowledged Rusesabagina's role.

Last May I had the chance to meet Rwandan President Paul Kagame in Rwanda. I sat beside him as he and his wife and most of Rwanda's parliament watched the movie. Afterward he leaned over to me and said the film had done much good around the world in exposing the horrors of the genocide. The next evening, I screened the film at Amahoro Stadium for some 10,000 people. It was the most emotional screening I have ever been at. I spent close to an hour afterward accepting thanks and congratulations. "

source: Terry George - Smearing a Hero

Please zingatia mambo ya muhimu kama:
1. Kagame aliangalia filamu hii with the director
2. Filamu ilionyeshwa Amahoro stadium.
3. that 1 and 2 above had no problem until rusesabagina started politics

cc: Bongolander
jMali, talking of heros? meet General Ibingira whose body is full of bullets + fragments scars, that didn't stop him from attacking the Genociders who was supported by the French in the southern part of Rwanda, today the people of that region could only compare him to Jesus (Messiah)...

B_fsxg-UgAMDJGH.jpg
 
Kuna mtu anaitwa Koba, huwa namuonea huruma na nawahurumia wanaomtuma kujibu maana huwa hana hoja zaidi ya kuropoka matusi...hao ndio diaspora wa kagame....duh
 
Last edited by a moderator:
Kwa mawazo ya mchambawima1, a Hutu can not be a hero...bado tuna kazi sana ya Rwanda iepukane zi kuisaidia Rwanda iepukane na jinamizi la ukabila
 
Last edited by a moderator:
jMali, talking of heros? meet General Ibingira whose body is full of bullets + fragments scars, that didn't stop him from attacking the Genociders who was supported by the French in the southern part of Rwanda, today the people of that region could only compare him to Jesus (Messiah)...

B_fsxg-UgAMDJGH.jpg

Guys let us be honest to each other. If the French really wanted Tutsis to be wiped out, why didn't they manage to do it? Given the superiority they had over the Rwanda at that time( weapons, money, influence) why didn't they do it? Nakubali genocide ilitokea, lakini siamini kama wafaransa walikuwa na akili kama Bagosora.
 
source ni director wa movie, sio rusesabagina. Does it matter kama aliyosema yamewekwa kwenye website ya rusesabagina? Haya tuyaangalie hapa kwenye WASHINGTON POST ili uwe na uhakika.

"When the film was released, Rusesabagina was acknowledged as a hero not just by ordinary people across the United States and Europe but also by diplomats, politicians, journalists and Rwandan officials in diplomatic posts here. Rwandan expatriates gave testimony to the veracity of the film, as did people who had been in the hotel and who tearfully acknowledged Rusesabagina's role.

Last May I had the chance to meet Rwandan President Paul Kagame in Rwanda. I sat beside him as he and his wife and most of Rwanda's parliament watched the movie. Afterward he leaned over to me and said the film had done much good around the world in exposing the horrors of the genocide. The next evening, I screened the film at Amahoro Stadium for some 10,000 people. It was the most emotional screening I have ever been at. I spent close to an hour afterward accepting thanks and congratulations. "

source: Terry George - Smearing a Hero

Please zingatia mambo ya muhimu kama:
1. Kagame aliangalia filamu hii with the director
2. Filamu ilionyeshwa Amahoro stadium.
3. that 1 and 2 above had no problem until rusesabagina started politics

cc: Bongolander

Kumbe filamu ilioneshwa Amahoro na ilikubaliwa na PK mwenyewe aliangalia??????

nadhani ni politics at best.
 
Nilishasema of course "hautaijua", kila siku huwa naweka links leo sitaki, tufanye ninadanganya..., rusesabagina was not awarded any medal in 2002 in absentia, was not congratulated by your gov in 2005, there are all lies. tufanye hivyo and let's move on.
Whay is it so hard??acha kudanganya watu nadhani kwa hili umeshindwa na naomba watu wote waone hili, fact ya Kagame kuangalia hotel Rwanda, fact ya kuionyesha uwanja wa Taifa is not a prove for the medal weka link inayo onyesha alipopewa hiyo medal in absentia kama ulivyosema, lasivyo uwe muungwana kubali umedanganya.
I was frank to you kwamba sijui na sikumbuki kama kweli aliwahi kupewa medal na serikali ya Rwanda.
The only thing you were required to do was just to give me the link and that was all, at this time uki fell then i will conclude kwamba hakupewa hii medal and i will start a thread showing other contradicting statements from you.
 
Guys let us be honest to each other. If the French really wanted Tutsis to be wiped out, why didn't they manage to do it? Given the superiority they had over the Rwanda at that time( weapons, money, influence) why didn't they do it? Nakubali genocide ilitokea, lakini siamini kama wafaransa walikuwa na akili kama Bagosora.

Bongolander ukiambiwa habari kuhusu RPF sometimes unaweza kufikiri ni hadithi yani!!! Kagame aliambiwa na mkuu wa majeshi ya UN Dallaire kwamba asitishe vita lasivyo wafaransa ambao walikuwa washafika Rwanda na kila kinachoitajka kivita watawamaliza, kwa jeuri akamwambia huyo jamaa kwenye picha, my hero! Gen Ibingira awawahi juu kwa juu na kweli jamaa hakuchelewesha akawapiga ambush, kibano kwa kwenda mbele alafu akawapokonya mainterahamwe waliyo kuwa nao na kuwaonyesha exit ya kupitia Zaire... kibaya ni kwamba haujuwi kifaransa lasivyo hapa ungefuatilia habari habari zilikuwa zikitolewa live au mtafute jMali akutafsilie...
https://www.youtube.com/watch?v=APvPG_TRAg8 au hapa kuanzia dakika ya 8:36 https://www.youtube.com/watch?v=6i7R0JFChoA
na kama unahitaji kujuwa kina jMali walivyokuwa wauwaji, basi hii ambayo iko kwenye English yaweza kukusaidia https://www.youtube.com/watch?v=VJAuyIRfYIM
 
Kuna mtu anaitwa Koba, huwa namuonea huruma na nawahurumia wanaomtuma kujibu maana huwa hana hoja zaidi ya kuropoka matusi...hao ndio diaspora wa kagame....duh

----- lingine hili hapa,ukiona umepewa like na Jmali better think twice lakini akili zako za makamasi will never understand.
 
Bongolander ukiambiwa habari kuhusu RPF sometimes unaweza kufikiri ni hadithi yani!!! Kagame aliambiwa na mkuu wa majeshi ya UN Dallaire kwamba asitishe vita lasivyo wafaransa ambao walikuwa washafika Rwanda na kila kinachoitajka kivita watawamaliza, kwa jeuri akamwambia huyo jamaa kwenye picha, my hero! Gen Ibingira awawahi juu kwa juu na kweli jamaa hakuchelewesha akawapiga ambush, kibano kwa kwenda mbele alafu akawapokonya mainterahamwe waliyo kuwa nao na kuwaonyesha exit ya kupitia Zaire... kibaya ni kwamba haujuwi kifaransa lasivyo hapa ungefuatilia habari habari zilikuwa zikitolewa live au mtafute jMali akutafsilie...
https://www.youtube.com/watch?v=APvPG_TRAg8 au hapa kuanzia dakika ya 8:36 https://www.youtube.com/watch?v=6i7R0JFChoA
na kama unahitaji kujuwa kina jMali walivyokuwa wauwaji, basi hii ambayo iko kwenye English yaweza kukusaidia https://www.youtube.com/watch?v=VJAuyIRfYIM
Only uninformed and ignorants Tanzanians ndio wanaweza support hawa animals kina Jmali,most of supporter ni interahamwe themselves wanaojifanya Tanzanians.
 
Mimi nilishasema wewe Koba ni useless dimwit!...unachojua ni kutukana tu basi....kama na wewe PK anakulipa kama diaspora wengine ili usambaze propaganda zake basi nasema anapoteza hela zake bure...he is paying you for nothing!
----- lingine hili hapa,ukiona umepewa like na Jmali better think twice lakini akili zako za makamasi will never understand.
 
Last edited by a moderator:
Mimi nilishasema wewe Koba ni useless dimwit!...unachojua ni kutukana tu basi....kama na wewe PK anakulipa kama diaspora wengine ili usambaze propaganda zake basi nasema anapoteza hela zake bure...he is paying you for nothing!

Kagame anawatia kiwewe washamba nyie maana akili zenu za matope kila mtu supporting PK is in his payroll,mmeishiwa acheni wajenge nchi yao na wewe keep supporting hao interahamwe kina Jmali
 
Back
Top Bottom