muuaji ni namba tatu namba nne Sio muuaji na inaonyesha amefika tukio likiwa limeshafanyika namba tatu wakati akienda chooni alichukua kisu kwenye meza aliyokaa namba nne.
hivyo namba nne hakukikuta kisu mezani kwake.
namba tatu alichukua kisu kwenye meza aliyokaa namba nne kuepusha maswali ambayo huenda angeulizwa na mhudumu kuwa kisu kiko wapi