Muuji ni namba 4...
Sababu
Hana kisu kama wenzie....
Anaonekana yupo na stress kidogo mpaka anajichanganya anakula kwa mikono yote miwili......
Lakini pia shati yake ni kama alikutana na purukushani hivyo kuna sehemu imechomekewa na sehemu haijachomekewa.....
Ila mteja no 2 na muhudumu wanamtazama kwa nshangao, inaonekana alitoka choo cha kike, matumiz ya mikono miwil, na mabadiliko ya shat iliwashangaza......