Salaam, Shalom!
Kwanini watu waliotokea kuwa na akili nyingi sana tangu utotoni huitwa geniouses?
Je watu hao, Wana mahusiano yoyote na aliens Kutoka Ulimwengu mwingine?
Na kwanini watambulike kama geniuses wakati Kwa kawaida genius ni Neno linalotokana na genie au jini/ majini?
Kwanini waitwe genius Badala ya intelligent, au Kuna tofauti kati ya watu hao wawili?
Karibuni🙏
Kwanini watu waliotokea kuwa na akili nyingi sana tangu utotoni huitwa geniouses?
Je watu hao, Wana mahusiano yoyote na aliens Kutoka Ulimwengu mwingine?
Na kwanini watambulike kama geniuses wakati Kwa kawaida genius ni Neno linalotokana na genie au jini/ majini?
Kwanini waitwe genius Badala ya intelligent, au Kuna tofauti kati ya watu hao wawili?
Karibuni🙏