Generali Ojukwu Ni Kwanini?


Huwa sipendi jinsi ambavyo unaandika thread zako kwa kuchanganya lugha namna hii. Silipendi hili kutoka moyoni na samahani kama nitakuwa nimekukwaza!
 
Huwa sipendi jinsi ambavyo unaandika thread zako kwa kuchanganya lugha namna hii. Silipendi hili kutoka moyoni na samahani kama nitakuwa nimekukwaza!

-
kunikwaza mimi? ha! ha! ha!, nisichokipenda sikigusi kabisaa nakikalia mbali sana! ha! ha! ha!


William.
 
Mkubwa!..siku zote tunakwambia wewe ni mpuuzi unazani tunakuonea,Tanzania sasa tunamambo mazito yanayotukabili,watu wanalala njaa,wanafunzi vyuo wanamaisha mgaumu mpaka dada zetu wanajiuza,matibabu yamekua tabu,gharama za maisha zimepata wachache ndio wanafaidi matunda ya nchi.
Wewe badala ya kuleta hoja za msingi,unaanza kutuletea historia ambayo nothing kwetu ktk kipindi hiki kigumu tulicho nacho.wewe ni bonge lala zuzu
 
William,
Nimetembea, sana nimekutana na wanaigeria waibo wayoruba hakuna hata siku moja walilaumu kwa nini tulipeleka wanajeshi Biafra cha kufurahisha wengi wanakipongeza kitendo chetu, si kwamba lengo lilikuwa ni kumlinda Ojuku na wafuasi wake bali kasi ya mauji dhidi ya waibo ilitisha, kama Taifa hatuna sababu hata moja ya kuwataka radhi Wanaigeria, mchango wetu ndio umeifanya Nigeria isimame kama Taifa leo hii. Umekaa NY kipindi kirefu sana siamini kama iliwahi hata siku moja kama kuna mnigeria alikushutumu kwa kitendo cha Mwl. Nyerere kupeleka wanajeshi Biafra.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 

Nyerere again!! mzee huyu kila kitu aliamua chumbani kwake na kusema ni watu wamesema!!
 

Tukiwa na maisha magumu ndio tusiongelee mambo mengine? Siku nyingine acha kuchangia hoja zisizoongelea maisha magumu.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
kwa nini tulimpiga idd amin?
Kwa nini tuliungana na zanzibar?
Kwa nini tulipeleka majeshi kongo?
 
Tukiwa na maisha magumu ndio tusiongelee mambo mengine? Siku nyingine acha kuchangia hoja zisizoongelea maisha magumu.

Chama
Gongo la Mboto DSM

Mkubwa,...wewe ndio william?,kwa hadhi aliyo nayo william ukilinganisha na hali ya sasa ya maisha hapa nchini ni wakati wa kuleta historia au kuleta hoja za njia mbadala kama msomi ya nini kifanyike kunusuru hali hii?......Na wewe sikunyingine usidandie mbele ya wanaume,utaolewa na utapata ujauzito mwisho utazaa ugali
 
Nyerere huyu huyu mnaemlaumu ndiye aliye jenga viwanda lukuki nchini alafu mmeviua vyote kwa masirahi yenu wachache
 
Nyerere huyu huyu mnaemlaumu ndiye aliye jenga viwanda lukuki nchini alafu mmeviua vyote kwa masirahi yenu wachache

mkubwa!kutokana na hali ya maisha nchi kwa sasa,hii ndio historia inapaswa kuongelea,sio mpuuzi mmoja anakuja na story za nigeria wakati huo hazisaidii taifa kwa sasa,nchi inakabili na mambo lukuki kwa sasa
 
- Noamba nikuelewe unasema kwamba hicho kitabu kina majibu ya why we were right kuunga mkono uasi against the Federation? Is that right?

William.
Umeambiwa hakuna mtanzania aliunga mkono huyo general bali ni nyerere mwenyewe ELEWA
 

Mkuu ritz kumbe upo kote kote? Hakukuwa na na msukumo wa kidini hapo kweli? Ni swali tu kwa kuwa najua Nigeria imekatika makundi mawili ambayo hata sasa tunayashuhudia.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Jasusi, uzee dawa, nashukuru kwa shule uliyotoa kama nilivyokuwa naielewa.

Kwa wasomaji Jasusi hakumaanisha kuonyesha 'rights or wrongs' za Nyerere. Jasusi alikusudia kujibu swali ambalo lenyewe tu halijitoshelezi. ''Kwanini Nyerere aliunga mkono Biafran'' ina mapungufu kwasababu watu walitaraji 'background' halafu ndiyo ije conclusion kama aliyoleta mtoa mada kuwa 'kulikuwa na tatizo katika policies'
Endapo mtu ataandika jina na conclusion sijui kama tutakuwa tumefikia lengo la maana ya majadiliano

Kabla sijaingia katika hoja za Jasusi, napenda kumkosoa mchangiaji mmoja aliyedai kuwa maamuzi ya kuunga mkono Biafran ni ya Nyerere na siyo wananchi. Mchangiaji amesahau kuwa serikali iliyopo madarakani ndiyo wananchi.
Benjamin Mkapa anaheshima kubwa sana Zimbabwe kwasababu alisimama kidete kuzuia commonwealth kumtenga Mugabe. Si kila mtanzania anakubaliana na hilo lakini Mkapa ndiye mkuu wa serikali na kauli yake ilikuwa ya Tanzania

Kuhusu Biafran Jasusi ameeleza sababu za Tanzania kuunga mkono. Soma nukuu zifuatazo

The people of Biafra have announced their willingness to talk to the Nigerian authorities without any conditions. They cannot renounce their secession before talks, but they do not demand that Nigerians should recognize it; they ask for talks without conditions. But the Federal Authorities have refused to talk except on the basis of Biafran surrender. And as the Biafrans believe they will be massacred if they surrender, the Federal authorities are really refusing to talk at all. For human beings do not voluntarily walk towards what they believe to be certain death. .....

Nor is this the first time the world has seen a reduction in political unity. We have seen the creation of the Mali Federation, the creation of a Union between Egypt and Syria, and the establishment of the Federation of Rhodesia and Nyasaland. And we have also seen the dissolution of all these attempts at unity, and the consequent recognition of the separate nations which were once involved

When more than twelve million people have become convinced that they are rejected, and that there is no longer any basis for unity between them and other groups of people, then that unity has ceased to exist. You cannot kill thousands of people, and keep killing more, in the name of unity. There is no unity between the dead and those who killed them; and there is no unity in slavery or domination

Surely, when a whole people is rejected by the majority of the state in which they live, they must have the life to life under a different kind of arrangement which does secure their existence. States are made to serve people; governments are established to protect the citizens of a state against external enemies and internal wrong-doers

Tanzania has recognized the State of Israel and will continue to do so because of its belief that every people must have some place in the world where they are not liable to be rejected by their fellow citizens. But the Biafrans have now suffered the same kind of rejection within their state that the Jews of Germany experienced. Fortunately they already had a homeland. They have retreated to it for their own protection, and for the same reason - after all other efforts had failed - they have declared it to be an independent state.
In the light of these circumstances, Tanzania feels obliged to recognize the setback to African unity which has occurred. We therefore recognize the State of Biafra as an independent sovereign entity, and as a member of the community of nations. Only by this act of recognition can we remain true to our conviction that the purpose of society, and of all political organization, is the service of Man."

Mwalimu alinukuliwa akisema.

Sina uhakika kama alikuwa sahihi au la, ninachojua alitetea uamuzi wa nchi tena kwa hoja, endapo kuna mwingine mwenye hoja dhidi ya Nyerere basi aziweke hapa ili watu wapate shule na wafanye conclusion based on the fact.

Nyerere ameonyesha nchi zilizokuwa pamoja na zikajitenga na Tanzania ilizitambua. Ameonyesha mauaji ya Ibo kama alivyoeleza Jasusi na amehitimisha kwanini anunga mkono. Mwenye counter arguement aje hapa.

Tusisahau kuwa Nyakati za Mwalimu Tanzania iliheshimika katika maamuzi hata yasiyopendeza watu.
Kwakweli ni aibu sana kusikia kuwa eti serikali za siku hizi zinajaribu kufanya mazuri kuliko ya mwalimu.
Tena J.Kikwete ndiye kabisa ameshindwa kusema neno kuhusu misimamo akijificha nyuma ya 'Msimamo wetu ni kama wa OAU'

Kwa wale wa enzi, msimamo wa Tanzania ndio ulikuwa msimamo wa kanda na pengine Africa. Hii haikutokea kwasababu Nyerere aliweza tu kufungua kinywa, la hasha! ni kwasababu misimamo ilikuwa ni juu ya hoja tena nzito.
 
Nadhani wewe ndio unajichanganya kutokana na kutokujua, ngoja nikupe darsa kidogo..

Unaposema kwa nini tusingewaunga mkono Israel tuwaunge mkono Palestine, wewe kwa akili yako unadhani Waisrael ni Wakirstu Waisrael dini yao ni Jewish, tena Israel kuna Wakiristu wachache sana wanazidiwa hata na Waislam kwa wingi...Wakirstu ni 2.1% na Waislam 16.9%.

Inawezekana Palestine kuna Wakiristu wengi kuzidi Israel kwa mfano maeneo ya Bathlehem.

Wengi wenu huwa mnajidanganya kuwa Waisrael ni Wakiristu hawa jamaa kwanza wanauchukia sana Ukiristu soma vitabu vyao ndio hutajua.
 
Last edited by a moderator:
Hivi wewe kwa kweli unatia aibu,

Ulifuatilia yaliyotokea baada ya kifo chake? Na mazishi yake etc

Sasa tukaombe msamaha wa nini?

Unataka jifanya unajua siasa kumbe duh bomu tu wewe, tabu kweli mt*t* wa n*e.
 

Nimefurahia kuona muda ulioandika hii thread.
 
 
ritz nashukuru sana leo kwa kuamuwa kunipa darasa, nami kwa sababu nia yangu ni kujifunza natumaini nitajifunza mengi kutoka kwako.

Umesema Isarel siyo Taifa la kikristo na Wakristo ni wachache mno sasa hapa najawa na maswali zaidi je ni kwa nini Chuki za wachukia Israel huwa zinafungamanishwa na Wakristo?

Ningependa kujuwa kumbe Palestina ina Wakristo na wanamgambo kama Hizbollah yana Wakristu wengi tu je ni kwa nini Waislamu wao ndio mashabiki wa makundi haya ya Wanamgambo?

Kwa ufahamu wangu mdogo Syria ina Waislamu wengi sana na wanauwawa kwa dozens na Majeshi ya Rais ambaye ni mwislamu, ila natatizo mpaka leo sijaona makundi kama Bakwata, shura ya Maimamu, Uamsho kufanya maandamano makubwa kupinga mauwaji ya waislamu hawa ma Syria?

Ni nini kimejificha nyuma ya Uislamu? Je unaweza kunitajia hasa Crusaders ni kina nani hasa?
 
Last edited by a moderator:


Huo msimamo wa Membe haukuwa wa Tanzania. Ulikuwa wa kwake. Hebu inyake hii, wakati wanasema hawaitambui serikali mpya ya Libya, Tanzania hiyohiyo ilikuwa inafukuzia mabilioni ya Libya ati kujenga kiwanda cha saruji jimboni kwa Membe. Serikali ya Libya ilikuwa haramu lakini mapesa yake matamu na yanatambuliwa! Yeba!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…