Generali Ojukwu Ni Kwanini?

- Cha muhimu ni kuelimishana mkuu the authorty wa Vita vya Nigeria na kwa nini tuliounga mkono maaasi, vipi ukiweka darasa hapa!!

William.
William,
Mbona darasa lipo hapa hapa JF? Labda niwaombe mods waunganishe thread hii na thread iliyopita tulipojadilia Nigeriana civil war. Nina hakika ipo hapa. Kama haipo basi nipo tayari kabisa kuchangia ninayoyafahamu.
 
Ritz1,
Tuheshimiane kijana. Ni wapi nilisema nilikuwepo Mkapa alipompa sumu Mwalimu? Naomba unitafutie thread hiyo.
 

Mbona unazunguka sana Tanzania waliunga mkono Biafra sababu kubwa ni udini tu...Kaskazini na Kusini.
 
Ritz1,
Tuheshimiane kijana. Ni wapi nilisema nilikuwepo Mkapa alipompa sumu Mwalimu? Naomba unitafutie thread hiyo.

Maneno yako yapo kwenye thread ya Vicent Nyerere alipomjibu Mkapa kule Arumeru Mashariki.
 
Maneno yako yapo kwenye thread ya Vicent Nyerere alipomjibu Mkapa kule Arumeru Mashariki.
Sasa kwa mtazamo wako Jasusi ndiye Vicenti Nyerere kwenye forum hii?
 
mleta thread hujajipanga wewe,hata hainiingii akilini ni kwanini unaanzisha kitu kinacho kuzidi umri na hujafanya enough reading.jipange kasome historia civil war ya NIgeria na kisha urudi tena.
 
Wewe malecela ni vyema ukaomba kazi mambo ya nje au mwulize mzee akuelezee make kwa sasa hilo si jambo muhimu kwa watanzania. Hebu ongelea walau vurugu za zanzibar na mstakabali wa muungano wetu au mstakabali wa kukusanya maoni ya katiba, hapo ndipo utaonyesha uko pamoja na sisi.
 
Sasa kwa mtazamo wako Jasusi ndiye Vicenti Nyerere kwenye forum hii?

Kweli wewe Kichuguu hata hujui kinachoongelewa, Kichuguu, kuna thread zingine unatakiwa huwe msomaji tu huku unajifunza.
 
Na PLO (Palestine) Tanzania wamewaunga mkono kwa sababu gani?

FJM,
Tusaidie mkuu wangu PLO nao walikuwa wanataka kujitenga kama Biafra?
 
FJM,
Tusaidie mkuu wangu PLO nao walikuwa wanataka kujitenga kama Biafra?

Palestine is practically koloni la Israel. Na hiki nchi alichoamini Nyerere. Na wanachopigania PLO ni uhuru kamili wa nchi inayoitwa Palestina sio haya magumashi ya "utawala wa palestina" kwa hisani ya Israel.
 
FJM,
Tusaidie mkuu wangu PLO nao walikuwa wanataka kujitenga kama Biafra?
ritz acha kujichanganya wewe mwenyewe, umesema Tanzania imeunga mkono Biafra kwa sababu ya udini, hapa unatueleza kwamba Serikali ya Tanzania ina dini rasmi kama ile ya Uingereza, ndio maana FJM amekuuliza kule Palestine Tanzania inaiunga mkono PLO kwa sababu zipi? ni kwa nini tusiiunge mkono Israel kama Marekani walivyo wazi katika hili? wacha porojo lete majibu.
 
Last edited by a moderator:
Mazingira sawa tu, wapalestina nao hawawataki jews na ni Muslims, umeshikwa pabaya, we potezea tu kiume.
Wewe imagine mtu kama huyu ritz atakuwa ana kaupewa fulani ka kuchanganuwa mambo lakini tayari ameshalishwa chuki dhidi ya Crusader, sasa hali ikoje kwa ambao wameishia madrasa tu na Elimu dunia hawana? haya ndio matunda yanayopatikana Zanzibar sasa hivi.
 
kumbe mkapa alimpa sumu mwalimu nyerere
 
- - JE have we ever apologize to the Nigerians kwa makosa yetu ya kuuunga mkono uasi wa Ojukwu, dhidi ya serikali halali ya nchi hiyo?
William J. Malecela.

Hiyo serikali halali ya Nigeria ilikuwa ipi na iliingiajie madarakani? Kweli usilolijua ni kama usiku wa giza and to imagine it is you of all the people! Au ni yale yale?
 
Maneno yako yapo kwenye thread ya Vicent Nyerere alipomjibu Mkapa kule Arumeru Mashariki.
Niwekee hapa hiyo nukulu ambapo nimesema nilikuwepo Mkapa alipomuua Mwalimu. That is all I am saying.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…