Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 18,014
- 32,684
Ki ukweli ukweli tuseme gender imetengeneza ubaguzi mkubwa sana kuna vitu unatamani kuvifanya ila gender inakubana inakukataza
Gender human creates.
====
Maoni zaidi kuhusu mada hii
Gender human creates.
====
Maoni zaidi kuhusu mada hii
Mkuu namchukia sana alie leta habari za gender leo mimi mtoto wakiume naumizwa nashindwa kulia au kuongea kwa uwazi kisa tu mwanaume. Tume mezeshwa vitu vya kijinga that why tunakufa mapema kisa kuficha hisia.
Imagine hata kulia huweziii. Kila ukitaka kulia unasikia sauti kichwani inakukataza " mwanaume halii"
The late Jiwe alishawahi tamka "Laiti SSH asingekuwa mwanamke basi Makamo wake angekuwa Hussein Mwinyi"
Naunga mkono hoja bila haya maujinga ya gender pengine sasa hivi tusingekuwa na haya mashaka.