Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Ukisikiliza hii video ya huyu Gen Z utaona mwendelezo wa tabia isiyo ya kawaida katika jamii, hasa viongozi wanapofariki, wananchi badala ya kuomboleza hucheka na kufurahi. Katika siku za hivi karibuni, vifo vya viongozi wa umma vimekuwa vikikabiliwa na kejeli, mzaha na kubezwa badala ya huzuni, dua au heshima ya mwisho.
Hili si jambo la kawaida kwa jamii iliyo na afya ya kisiasa, kiroho na kimaadili; ni ishara dhahiri ya kuwepo kwa pengo kubwa kati ya serikali na raia wake.
Hili si jambo la kawaida kwa jamii iliyo na afya ya kisiasa, kiroho na kimaadili; ni ishara dhahiri ya kuwepo kwa pengo kubwa kati ya serikali na raia wake.


