Mambo yote ni chattle mzee ambapo ndipo makao makuu ya mkoa.View attachment 1938411
Geita ndio mkoa unao ongoza kuwa na madini Tanzania...
Ndio maana mnapomlaumu JPM Kwa yale aliyoyafanya au kuyaanzisha katika mkoa huo wa Geita huwa Mimi nawashangaa sana, mikoa ya Geita na Shinyanga na Mwanza imetoa madini ya Dhahabu na Almasi tangu na kabla hata ya Kupatikana Uhuru, Williamson Diamonds pale Mwadui ilianza kuchimba Almasi tangu mwaka 1947 mpaka leo hii bado Almasi zinatoka tu, lakini ukiingalia hiyo mikoa haina maendeleo yeyote ya maana,Yule jamaa nilipingana naye kwa mambo mengi sana, karibia 80% sikukubaliana naye!
Lakini katika jambo ambalo nashindwa kumkosoa ni kuchukua billion 700 (0.7 trillion) na kuziweka Busisi - Kigongo kwa ajili ya daraja...
Kwa hiyo!?Ndio maana mnapomlaumu JPM Kwa yale aliyoyafanya au kuyaanzisha katika mkoa huo wa Geita huwa Mimi nawashangaa sana, mikoa ya Geita na Shinyanga na Mwanza imetoa madini ya Dhahabu na Almasi tangu na kabla hata ya Kupatikana Uhuru, Williamson Diamonds pale Mwadui ilianza kuchimba Almasi tangu mwaka 1947 mpaka leo hii bado Almasi zinatoka tu, lakini ukiingalia hiyo mikoa haina maendeleo yeyote ya maana,
Tukitaka kuijenga Geita watu wanasema ni mkoa pendwa.View attachment 1938411
Geita ndio mkoa unao ongoza kuwa na madini Tanzania.
Lakini pia ndio mkoa wenye Stendi mbaya sijawahi kuona...
Mikoa hiyo inastahili pia kupata maendeleo sio dhambiKwa hiyo!?
Sasa nimekuelewa kwani mwanzo uliishia hewani tu. Ni kweli hiyo ni haki yao ingawa mimi nitawalaumu sana Wabunge na Madiwani wa huko Geita; hawa ndio walipaswa kuwa mstari wa mbele katika kupigania maendeleo yao, siyo kuwasubiri Wakuu wa Mikoa au MA - DC! Hawa ni wateuliwa tu, ni wapita njia.Mikoa hiyo inastahili pia kupata maendeleo sio dhambi
Shinyanga iwe wilaya ndani ya mkoa wa kahamaAchana na GEITA kamkoa kajuzi tu hapa , SHINYANGA ina GOLD na DIAMOND lakini ni moja ya mikoa ya hovyo sana Tanzania.
Haiwezekani, Uliona wapi sikio likazidi kichwa ?Shinyanga iwe wilaya ndani ya mkoa wa kahama
Hela za mrahaba zimeongezeka kipindi cha Magufuli na ndipo wakaanza kupata vilami hapo mjini,imagine miaka ya 2009 GGM ndo ilikuwa cash cow ya migodi yote ya Anglo Gold Ashanti lakini mji wote kulikuwa hakuna maji ya bomba wala rami,haya yote yamekuja tekelezwa na MagufuliUliza Halmashauri Geita hela za mrahaba wanazipeleka wapi
Chato hakuna stendi,mpaka sasa hivi haijaanza kutumika ambayo ilikuwa inajengwaJohn alihamishia miradi yote wilayani chato akasahau mkoa wake geita,chato wana bonge la standi japo kuna lala mabasi makubwa mawili tu,moja la mwanza na la bukoba
Imeanza kutumika japo haijakamilikaChato hakuna stendi,mpaka sasa hivi haijaanza kutumika ambayo ilikuwa inajengwa
Na maajabu ni kwamba Halmashauri ya Geita ni moja ya Halmashauri zenye mapato mengi na makubwa sana kutokana na mrabahaUliza Halmashauri Geita hela za mrahaba wanazipeleka wapi
Tatizo la Bukoba na Moshi ni special case stendi zao za hovyo sana na sababu kuu wenye vyeo na uwezo serikalini na sekta binafsi hujenga sana mikoa mingine na vijijini kwao Miji yao wala hawahangaiki nayo ndio maana stendi ya Moshi. Mjini na bukoba mjini utafikiri stendi za boda bodaBora hata unaweza kusema Geita ni mkoa wa juzi.
Bukoba magari yanalala hapo na yanaanzia hapo kabisa...
Uongo. Kahama iko shinyanga na imepewa hadhi ya jiji la KahamaAchana na GEITA kamkoa kajuzi tu hapa , SHINYANGA ina GOLD na DIAMOND lakini ni moja ya mikoa ya hovyo sana Tanzania.
Hii inaonyesha Wabunge ni zero,Hela za mrahaba zimeongezeka kipindi cha Magufuli na ndipo wakaanza kupata vilami hapo mjini,imagine miaka ya 2009 GGM ndo ilikuwa cash cow ya migodi yote ya Anglo Gold Ashanti lakini mji wote kulikuwa hakuna maji ya bomba wala rami,haya yote yamekuja tekelezwa na Magufuli