Katiba ya Mzee Warioba na Agustiono Ramadhani (Mwenyezi Mungu amlaze mahala pema) iliweka bayana haya mambo yote ya kuokoa gharama kubwa za kuendesha nchi hadi mgawanyo mzuri wa madaraka na rasilimali asilia za nchi. Sema kiwango cha ujinga na unafiki hapa kimefikia levels za juu sana, Mungu atusamhe na tukachelewesha hili wazo la katiba. Wala hatuoni aibu kwenda kujifunza Rwanda!Ndiyo maana watu wanataka majimbo. Sehemu fulani (kiasi cha kutosha)ya mapato ya Geita yanatakiwa kubaki hapo kuijenga. Badala yake karibu pesa yote inaenda kujenga flyover Dar, lami hadi vichochoroni nk.
Uliza Halmashauri Geita hela za mrahaba wanazipeleka wapiNdiyo maana watu wanataka majimbo. Sehemu fulani (kiasi cha kutosha)ya mapato ya Geita yanatakiwa kubaki hapo kuijenga. Badala yake karibu pesa yote inaenda kujenga flyover Dar, lami hadi vichochoroni nk.
Na hapo ndipo chanzo cha tatizo na hili linazidisha uhitaji wa katiba ya wananchi.Uliza Halmashauri Geita hela za mrahaba wanazipeleka wapi
Nasita kukwambia kuwa umesema uongo, badala yake kwa ustaarabu nasema hiyo siyo kweli! Miradi yote ya kimkakati inatekelezwa yote au itatekelezwa yote (kwani utekelezaji ni ON GOING PROCESS!) na hii awamu ya Rais SSH! Au nijuze ni miradi ipi ya kimkakati ambayo imetekelezwa na awamu hii ya sita?Na miradi yao ya kimkakati yote imetelekezwa na awamu ya 6.
Safari lazima kinuke
Ni ujinga wa hali ya juu,kuweka chuo mbali na eneo la field yenyewe !! Uchimbaji uko kwingine ,chuo kwingine.location imekaa hovyo Sana hii!!,Kilimanjaro wawekage vyuo vya utalii na wanyama pori ok kabisa ,na sio madini !!Waliiharibu ni wale walipeleka chuo Cha madini Moshi wakati hakuna madini.
Wanafunzi wanaotoka maeneo ya migodi kupelekwa kusoma moshi mambo ya uchimbaji madini ulikuwa wamuzi wa kipumbavu sana! Wakati vyuo kama Mwanza veta ipo ulikuwa ujinga sana!Ni ujinga wa hali ya juu,kuweka chuo mbali na eneo la field yenyewe !! Uchimbaji uko kwingine ,chuo kwingine.location imekaa hovyo Sana hii!!,Kilimanjaro wawekage vyuo vya utalii na wanyama pori ok kabisa ,na sio madini