Taifa_Kwanza
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 443
- 86
Miaka kama kumi na moja iliyopita, nilikutana na jamaa fulani maeneo ya Mwanza
kwenye counter ya Bar moja tukipata moja moto moja baridi.
Ghafla, tulizoena na kuanza kuongea mambo meeeengi sana, Mojawapo ni experience
yake ya kufanya Kazi kwenye Mgodi wa Geita Gold Mining akiwa ni mmoja kati ya watanzania
wa kwanza kabisa kuajiriwa katika Mgodi huo.
Yeye aliajiriwa kama Driver, elimu yake ikiwa ni form four, aliniambia alikuwa ni mmoja wa watanzania
wa kwanza kabisa kuendesha mamitambo ya kuchimba ardhi kuzamia Dhahabu chini ya Ardhi.
Katika mengi aliyonieleza leo naomba kupata uhakika wa hili kwa wenye details husika, Kwamba,
mji wa Geita maana yake ni Gold Exploration in Tanzania, Ulipewa jina hili na watafiti wa madini wa
Kizungu miaka mingi iliyopita kama sio nyakati za vita vya kwanza vya dunia.
Alinieleza kwamba, habari hizi alipewa na Kijana wa kizuru ambaye ndio alikuwa trainer wao
kwenye shughuli za uchimbaji wa madini, na kwamba hiyo ilikuwa ni siri kubwa sana miongoni
mwa jamii za kizungu, Kwamba ufahamu aliokuwa nao ni kwamba, Geita ni eneo lenye utajiri
wa Dhahabu kuliko eneo lolote lile duniani, na kwamba eneo hilo liko Marekani na wamarekani
hawakuwa tayari kuchimba dhahabu hiyo mpaka pale dhahabu itakapopongua maeneo
mengine duniani hasa South Africa, Ghana n.k, kwamba hakuwahi kufikiria geita
inaweza kuwa sehemu yoyote katika Ardhi ya Africa kutokana na msimamo ambao uliishapitishwa
wa kutochimba dhahabu eneo hilo.
Mzuru huyo, kwa namna iliyokuwa ikiashiria kwamba anatoa siri kubwa sana moyoni, mwake
alimueleza rafiki yule kwamba, yeye Binafsi machozi yalimtoka alipokuja kukuta kwamba Geita
ni sehemu ya ardhi ya Africa, tena Wakazi wa eneo hilo wakionyesha kwamba hawakuwahi
kujua kabisa kwamba chini ya ardhi hiyo kulikuwa na ADHINA ILIYOFICHIKA KWA MIAKA
MINGI SANA KWENYE MIOYO YA WAZUNGU.
Ninaandika maelezo haya, huku roho ikiniuma sana, Hasa nikikumbuka majuzi John Mnyika
aliuliza bungeni kama Madini yenu yana laana.
Mwenye taarifa zaidi naomba anisaidie. Ninakusanya hasira.
kwenye counter ya Bar moja tukipata moja moto moja baridi.
Ghafla, tulizoena na kuanza kuongea mambo meeeengi sana, Mojawapo ni experience
yake ya kufanya Kazi kwenye Mgodi wa Geita Gold Mining akiwa ni mmoja kati ya watanzania
wa kwanza kabisa kuajiriwa katika Mgodi huo.
Yeye aliajiriwa kama Driver, elimu yake ikiwa ni form four, aliniambia alikuwa ni mmoja wa watanzania
wa kwanza kabisa kuendesha mamitambo ya kuchimba ardhi kuzamia Dhahabu chini ya Ardhi.
Katika mengi aliyonieleza leo naomba kupata uhakika wa hili kwa wenye details husika, Kwamba,
mji wa Geita maana yake ni Gold Exploration in Tanzania, Ulipewa jina hili na watafiti wa madini wa
Kizungu miaka mingi iliyopita kama sio nyakati za vita vya kwanza vya dunia.
Alinieleza kwamba, habari hizi alipewa na Kijana wa kizuru ambaye ndio alikuwa trainer wao
kwenye shughuli za uchimbaji wa madini, na kwamba hiyo ilikuwa ni siri kubwa sana miongoni
mwa jamii za kizungu, Kwamba ufahamu aliokuwa nao ni kwamba, Geita ni eneo lenye utajiri
wa Dhahabu kuliko eneo lolote lile duniani, na kwamba eneo hilo liko Marekani na wamarekani
hawakuwa tayari kuchimba dhahabu hiyo mpaka pale dhahabu itakapopongua maeneo
mengine duniani hasa South Africa, Ghana n.k, kwamba hakuwahi kufikiria geita
inaweza kuwa sehemu yoyote katika Ardhi ya Africa kutokana na msimamo ambao uliishapitishwa
wa kutochimba dhahabu eneo hilo.
Mzuru huyo, kwa namna iliyokuwa ikiashiria kwamba anatoa siri kubwa sana moyoni, mwake
alimueleza rafiki yule kwamba, yeye Binafsi machozi yalimtoka alipokuja kukuta kwamba Geita
ni sehemu ya ardhi ya Africa, tena Wakazi wa eneo hilo wakionyesha kwamba hawakuwahi
kujua kabisa kwamba chini ya ardhi hiyo kulikuwa na ADHINA ILIYOFICHIKA KWA MIAKA
MINGI SANA KWENYE MIOYO YA WAZUNGU.
Ninaandika maelezo haya, huku roho ikiniuma sana, Hasa nikikumbuka majuzi John Mnyika
aliuliza bungeni kama Madini yenu yana laana.
Mwenye taarifa zaidi naomba anisaidie. Ninakusanya hasira.