Geita, Chato: Mwili wa Monica Magufuli, wazikwa katika Makaburi ya familia

huyo mama ameolewa na mumewe yupo hai, iweje azikwe kwenye makaburi ya familia ya magufuli? tena ndani ya makazi ya kaka yake?
Ngedere wewe kwa nini mke akifa azikwe kwa mumewe Na mume akifa kwa nini asizikwe kwa mkewe .shenzi type mwendekeza mfumo dume wewe.Kwa nini iwe one sided shenzi wewe.A road is a two way traffic
 
Sawa, lakini kama mwanamke kaolewa huwa ikitokea kafariki anazikwa kwenye ardhi ya mumewe/kwao mumewe, iweje huyu ambaye ana mme watoto na wajukuu azikwe kwao
imeandikwa wapi kwenye biblia hayo mambo nipanue ufahamu wangu
 
Hapo kwenye red mkuu, utatangulia wewe!! Mimi nakuambia kama kesho utaiona labda siyo mimi!!
 
Kuna sehemu JIWE kasema bora angetangulia yeye.
Wacha uongo wewe,, alikuwa anasimulia mama yake alivyokuwa akimwambia kwamba mama yeye ndiye angetangulia kabla ya huyo binti yake maana ndiye alikuwa akimtafutia mboga za majani pia ndiye alikuwa akizijua dawa alizokuwa akitumia huyo mamake! Muwage mnasikiliza vizuri ndio maana hata mitihani huwa mnafeli hivi hivi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…