Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,166
- 45,872
Huo uchawi au jambo la kawaida kwenye jamii yetu ? Au dada hujaolewa wewe ?Uchawi sio lazima upae na Dreamliner (Ungo). Wachawi katika ubora wenu uliotukuka.
Mla huliwa....anaogopa the latterSasa hao maafisa usalama wanafuata nini? Hata kwenye msiba, tena nyumbani kwa mkuu mwenyewe wao wammganda mkuu utafikiri kumbi kumbi!
Sema mama yako. Mi wakwangu mzima.R.I.P. Mama yetu.
Unachokisema ukielewi ww hakuna mwanamke aliyeolewa alafu akafa akizwa kwao hizo ni mila ganImeandikwa wapi mtu akiolewa azikwe alikoolewa? Usituletee mila za kichaga hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna sehemu JIWE kasema bora angetangulia yeye.
Hiyo unayotaka wewe ni mila gani?Unachokisema ukielewi ww hakuna mwanamke aliyeolewa alafu akafa akizwa kwao hizo ni mila gan
Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hapa Wasukuma wote humu ndani watapita kama vile hawaoni hivyo naomba na mimi niulize tena...je ni kawaida kwa mama aliyeolewa kuzikwa kwa kaka yake wakati mumewe na watoto wapo? Je mumewe akifariki atazikwa wapi? Je mila za Kisukuma ndivyo zinavyotaka?Mama aliolewa na mumewe yupo hai na watoto wapo pamoja na wajukuu zake lakini amezikwa kwa kaka yake kwa nini.?
Labda sijui mila za wasukuma.!
Ngedere wewe kwa nini mke akifa azikwe kwa mumewe Na mume akifa kwa nini asizikwe kwa mkewe .shenzi type mwendekeza mfumo dume wewe.Kwa nini iwe one sided shenzi wewe.A road is a two way traffic
Kweli jamaa ni mpumbafuu kabisamatusi yako hayajajibu swali, bali yameonyesha jinsi ulivyo mpumbavu na lofa
Pambana na hali yako wewe mwenyewe utakufa usipende sana kuhesabu mabaya ya wenzio na kujiona wewe ni mwema la hasha wote ni wakosefu mbele za mwenye enzi kuu na tutahukumiwa sawa na matendo yetu wewe tenda wema tuLabda kifohiki kitamzindua Jiwe ajue kuna kufa vyote hivi akaviacha. Hivyo akapunguza dhulma.
una maneno wewe.Hiyo lazima mzee hadi mzee anastaafu ni protocol tuu zipo wanamuacha mda wa kulala tuu ndo maana hata anapokua Ofisini kwake pale ikulu unakuta kolido zote wamezikamata
Urais mtamu ndo maana Lowassa anapambana ili aupate na Mda umeshamuishia hivyo ardhi inamuita.
Nna mashaka na akili yakoSasa hao maafisa usalama wanafuata nini? Hata kwenye msiba, tena nyumbani kwa mkuu mwenyewe wao wammganda mkuu utafikiri kumbi kumbi!
Kuna vitu vinashangaza kweli kweli, Huu ulinzi ni wa miaka ya nyuma, leo unaona Trump kama hana ulinzi kumbe hatari ata panya hasogei mambo ya kumkamata kama luba mkuu wetu wa dola sio poa mpaka watu waanze kuulizana Rais ndo Yupi pale.Sasa hao maafisa usalama wanafuata nini? Hata kwenye msiba, tena nyumbani kwa mkuu mwenyewe wao wammganda mkuu utafikiri kumbi kumbi!
Sio lazima iwe ivo mkuu, Apo ni wanafamilia wamekaa na Kuamua ivo wewe ni nani mpaka utake kuwapangia itoshe kujua kuwa hayo ni maamuzi binafsi ya familia yao.Sawa, lakini kama mwanamke kaolewa huwa ikitokea kafariki anazikwa kwenye ardhi ya mumewe/kwao mumewe, iweje huyu ambaye ana mme watoto na wajukuu azikwe kwao