nowsasa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,096
- 1,125
Wanafanya ulinzi kwa staili ya karne ya 19. ! Leo tuko 21st karne! Jitu linamsimamia raisi nyuma utafikiri mlingoti!Kuna vitu vinashangaza kweli kweli, Huu ulinzi ni wa miaka ya nyuma, leo unaona Trump kama hana ulinzi kumbe hatari ata panya hasogei mambo ya kumkata kama luba mkuu wetu wa dola sio poa mpaka watu waanze kulizana Rais ndo Yupi pale.
Sent using Jamii Forums mobile app