pantheraleo
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 691
- 878
Mwili wa Monica Magufuli (Dada wa Rais Magufuli ) umezikwa katika makaburi ya familia yaliyopo ndani ya makazi ya Rais katika Kijiji cha Mlimani, Kata ya Muungano Wilaya ya Chato mkoani Geita.
Monica alifariki Jumapili Agosti 19 mwaka huu kwenye Hospitali ya Bugando, Mwanza.
Rais Magufuli akiwa na Mama yake mzazi Suzana Magufuli wakati wakiaga Mwili wa Marehemu Monica Magufuli nyumbani kwao ktk kijiji cha Mlimani
Yono vibe
Monica alifariki Jumapili Agosti 19 mwaka huu kwenye Hospitali ya Bugando, Mwanza.
Rais Magufuli akiwa na Mama yake mzazi Suzana Magufuli wakati wakiaga Mwili wa Marehemu Monica Magufuli nyumbani kwao ktk kijiji cha Mlimani
Yono vibe