Hizi GDP binafsi huwa naina ni za mchongo sana.
GDP ni rahisi sana kuoiwa na kuwekwa kwenye namba unayotaka mwenyewe.
Nchi kama Marekani haizidi China kwa chpchpte kwa sasa.
Quality ya maisha ya China ni zaidi ya Marekani ila Marekani ana GDP kunwa sana kuliko China.
Nenda Kwnya hapo uome Wakenya wanavyotaabika, ila wana GDP kubwa kuliko Tanzania.
======
Katika pita pita zangu nimegundua GDP inapikwa sana.
Kwanaza Kenya kwasasa pamoja na ukubwa wa GDP yao ni kama haikopesheki.
Kenya inachonga mpaka bodaboda eti wanachangia 4.4% ya GDP yao, yaani Ksh 660 billioms kila mwaka, kitu ambaocho ni possibly cha kupika.
====
Kiuhalisia Tanzania inaweza kuwa hata namba 5 kwa ukunwa wa GDP kwa Afrika ikitaka, ila hakuna sababu hoyo sasa maana haina mantiki.
View attachment 3328033