Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
Umejuaje kama imetoka? Km umejua imetoka unashindwaje kupakua?Jamani GbWhatsapp version 5.90 imetoka, link pse
Imetoka mkuu wengi uwa wanashindwa kuupdate,link ninayo ila kuweka hapa ndo siwezi kama kuna mtu anajua anielekeze niiwekeUmejuaje kama imetoka? Km umejua imetoka unashindwaje kupakua?
Tapeli wangu vodaImetoka mkuu wengi uwa wanashindwa kuupdate,link ninayo ila kuweka hapa ndo siwezi kama kuna mtu anajua anielekeze niiweke
Maneno kama haya yakutokuwa mvumilivu,nikahamua nikucancell umeona wenzio wanalialiaTapeli wangu voda
Sisi tunao kujua tunajua wewe ni tapeliManeno kama haya yakutokuwa mvumilivu,nikahamua nikucancell umeona wenzio wanalialia
Aya nenda central kafungue kesiSisi tunao kujua tunajua wewe ni tapeli
GBWA v5.90-2.17.296 @atnfas_hoak.apkJamani GbWhatsapp version 5.90 imetoka, link pse
Unaweza ukawa nayo whatsaap yako ya kawaida na uka install gb whatsaap kwa namba nyingine kwa hio ukawa na whatsaap mbili kwenye simu moja..kwa mfano mm niko na whatsaap 3 namba tofauti kwenye simu moja.yote inawezekana.Mkuu, nikiwa narudi whatsapp ya kawaida natakiwa kufanya nini kabla ya ku-install hii kiongozi.
Nini cha kuzingatia, back up, au bila ya kuback up pia it's okay.
Natakiwa niitoe kwanza whatsapp ya kawaida then ndo niinstall hii GB au naweza kuinstall tu bila ya kuiondoa mkuu.
Thanks.
Naitaka na mimiHii Yowhatsapp inajitegemea au ni sehemu ya whatsapp km tunavyotumia Gwhatsapp?
Maneno kama haya yakutokuwa mvumilivu,nikahamua nikucancell umeona wenzio wanalialia



mikumiyetu unazingua, mwenyewe mwanzoni kabla sijaingiaga chuo nilidanganywa hivo hivo nkatapeliwa,, inshort guys hamna kitu kama hicho,,we ukitaka bundle za chuo just buy line za chuo na usajili, kuna halotel, airtel, ttcl.. izo ndo nzuri navoona so far .. so guys epukeni matapeli msikubali kuwekwa gizaniMkuu ingia google search hiyo kitu ila ni vizuri u-download the latest versionNaitaka na mimi