Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 9,761
- 15,575
- Thread starter
- #61
Sawa sawa mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kubashiri kuna app za kubashiri / kuzalisha imei zaidi kutoka kwa ile imei og au wanamunipulate zile last five digits za imei husika bila kuchange zile first 10 digts... Zitakazo zaliwa hapo ndyo zinaingizwa kwenye kifaaa ila ni uhuni/ wizi usijaribu hii mambo ni kinyume na sheria ya nchi yetu ukidakwa tisialaei ni utapata tabu sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app