GB 50 za Vodacom

GB 50 za Vodacom

Mambo ya kuchange IMEI hayapo, unachotakiwa uwe umenunua vodaphone then imei yako inatumika kukuunganishia hilo bando na ni mala moja tu kwa kila vodaphone.

So wauni wanachokifanya ni kubashir imei ukipatia imei kama ipo kwenye kampuni ya voda basi lain yako inapewa hzo GB 50, kumi kumi GB kila mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app

Asa si ndo wanabashiri imei kwa kuzibadilisha...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Bado hakuna aliyenyoosha maelezo.
Sawa huduma hii haifanyi kazi kwa sasa.
Ila kama unajua...toa steps ambazo wajanja wanazifanyaga kugawa hizo gb 50
 
Bado hakuna aliyenyoosha maelezo.
Sawa huduma hii haifanyi kazi kwa sasa.
Ila kama unajua...toa steps ambazo wajanja wanazifanyaga kugawa hizo gb 50
Siyo 50 ni 60 kwa miezi sita
 
Mambo ya kuchange IMEI hayapo, unachotakiwa uwe umenunua vodaphone then imei yako inatumika kukuunganishia hilo bando na ni mala moja tu kwa kila vodaphone.

So wauni wanachokifanya ni kubashir imei ukipatia imei kama ipo kwenye kampuni ya voda basi lain yako inapewa hzo GB 50, kumi kumi GB kila mwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo kubashiri kuna app za kubashiri / kuzalisha imei zaidi kutoka kwa ile imei og au wanamunipulate zile last five digits za imei husika bila kuchange zile first 10 digts... Zitakazo zaliwa hapo ndyo zinaingizwa kwenye kifaaa ila ni uhuni/ wizi usijaribu hii mambo ni kinyume na sheria ya nchi yetu ukidakwa tisialaei ni utapata tabu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom