Unaungaje?Mimi pia ninazo code kazi kwako kama upo interest inbox me View attachment 956163
Inawezekana bado?Mimi pia ninazo code kazi kwako kama upo interest inbox me View attachment 956163
hahahahahahhahahahahahKuna watu wajinga kiasi iki bado inatoa namba yako kiraisi ivi kweli wasukuma mna safari ndefu
huduma hii nahisi imefungwa haifanyi kazi mm sina ina siku kama 4 haifanyi kaziInawezekana bado?
Weka hzo code kwanza hili tujue kama hazifanyi kazhuduma hii nahisi imefungwa haifanyi kazi mm sina ina siku kama 4 haifanyi kazi
Uki edit imei c ndo unaeka codes
Una edit, wapi sasa????
Mimi nataka kuedit naingia wap ili niweze kuedit?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna apps unatumia kuchange imei nadhani
Mi nawasubiri hao hao Vodacom naona watu na roho mbaya zao hawataki wenzao wafaidike watu weusi sijui tumelaaniwaaaaa yaani mtu kutoa mbinu ya kitu Fulani tu anaona unafaaiiiiiidiAkitokea wa tigo mnitag
Achana na binadamu mamaMi nawasubiri hao hao Vodacom naona watu na roho mbaya zao hawataki wenzao wafaidike watu weusi sijui tumelaaniwaaaaa yaani mtu kutoa mbinu ya kitu Fulani tu anaona unafaaiiiiiidi
Sent using Jamii Forums mobile app