mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Ni jambo la kushangaza sana kuona gazeti la Uhuru likiandika habari za matukio yasiyo sahii, hii inaonyesha kukurupuka na kutokuwa makini na utendaji wake, Jana Gazeti hili liliandika habari inayohusu kuporwa bunduki askari Police pale kijitonyama Benk ya Posta ambavyo haikuwa sahihi, sahihisho lake ni kwamba Bunduki iliporwa maeneo ya mwananyamala kwenye bank ya akiba Commercial bank karibu ba bar ya Meridian, na sio benk ya posta pale kijitonyama, Jamani wahariri kuweni makini na habari za kiuchunguzi sio mnatuma maandishi wa habari wa Udaku ndio wanaandika wasichokijua!!!