Wewe huna hoja kaa kimya kabusa wewe ulitakaje???,Usilaumu unavyokosa 'like' hata moja hapa na comments watu wamekua siku hizi ki akili
Musiba kawaingiza ccm kona mbaya sana
Alivyokuwa anawashambulia wapinzani kwa tuhuma zake za kitaahira walikuwa wanakenua kama mabaamedi vile, sasa kawageuka wanapiga mayowe. Hovyo sana hawa fisiem.
Zimebanwa za ufipa ndiyo maana wanamsafisha
Hamuendi na Lisu tena?
Kwa wiki mbili mfulilizo gazeti la Chadema linalomilikiwa na Mbowe ,Tanzania daima limekuwa likija na front page za kumsafisha na kumsifia Membe kuwa anafaa kuwa rais wa Tanzania.
Hata kipindi ambacho Lisu amepigwa risasi gazeti la Tanzania daima halikuja na front page ya kuhusu tukio kwa wiki mbili mfululizo. Pia hata sasa hivi Mbowe yuko gerezani lakini gazeti haliandiki habari zake badala yake limejikita kumsafisha mwana ccm Membe!!
View attachment 958860View attachment 958861View attachment 958862
Ushahidi ni kuja na front page ya Membe kila sikuHuna ushahidi wa hilo unalolisema ni Bora tu kufyata mdomo. Tukio la lissu wananchi walipost sana labda kama ww hukuwa na hela za kununua hilo gazeti. Walipost mnooo...
Anyway, mbona kigazeti cha musiba kinachotukana watu hukioni?
kama umikasirika kanyeKwa wiki mbili mfulilizo gazeti la Chadema linalomilikiwa na Mbowe ,Tanzania daima limekuwa likija na front page za kumsafisha na kumsifia Membe kuwa anafaa kuwa rais wa Tanzania.
Hata kipindi ambacho Lisu amepigwa risasi gazeti la Tanzania daima halikuja na front page ya kuhusu tukio kwa wiki mbili mfululizo. Pia hata sasa hivi Mbowe yuko gerezani lakini gazeti haliandiki habari zake badala yake limejikita kumsafisha mwana ccm Membe!!
View attachment 958860View attachment 958861View attachment 958862
ule msiba umehongwa na nani.. tuanzie hapaKwa wiki mbili mfulilizo gazeti la Chadema linalomilikiwa na Mbowe ,Tanzania daima limekuwa likija na front page za kumsafisha na kumsifia Membe kuwa anafaa kuwa rais wa Tanzania.
Hata kipindi ambacho Lisu amepigwa risasi gazeti la Tanzania daima halikuja na front page ya kuhusu tukio kwa wiki mbili mfululizo. Pia hata sasa hivi Mbowe yuko gerezani lakini gazeti haliandiki habari zake badala yake limejikita kumsafisha mwana ccm Membe!!
View attachment 958860View attachment 958861View attachment 958862