MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
jiwe kwanza litoke mengineyo tutajua mbere kwa mberehapo ndo huwa nachoka na siasa za bongo...... yaani hadi wapinzani wanashabikia kuwa 2020 twende na membe.
sasa target yao ni kuondoa Ccm au magufuli.
maana hata membe akiingia still ni ccm so mifumo ile ile itaendelea tu. Au wapinzani wa nchi hii wanamipango ya kuwa wapinzani milele?