Gazeti la Tanzania Daima laadimika mtaani

Gazeti la Tanzania Daima laadimika mtaani

Status
Not open for further replies.

masanjasb

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2011
Posts
2,364
Reaction score
869
wakuu wasalaam?
leo asbh nimeamka nikiwa na wazo moja tu kichwani,la kununua gazeti la T-DAIMA ili nisome madai ya CHADEMA kufichua siri za watu wa usalama kukihujumu chama cha CHADEMA, sasa katika pita pita yangu amini usiamini mpk sasa nimepita sehemu 5 hakuna gazeti la T-daima na madai ya wauzaji wanasema kuna watu wamekuja wakanunua yote,mara wengine"leo mie nimeletewa copy3 tu" wengine copy 5

kama issue kujulikana ishajulikana toka jana,tumeisoma humu JF, sasa ya nini wanausalama wanahaha kununua magazeti mtaani?<sina hakika kama ni usalama> ama wanataka watz wa kawaida wacjui what is going on?



MY TAKE:
CCM TEKELEZENI SERA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI WANANCHI TUKO TAYARI KUWAUNGA MKONO.WAACHENI CDM WAFANYE KAZI ZAO KIUFANISI KWANI WANAWAKUMBUSHENI MAJUKUMU YENU KILA MNAPOJISAHAU,TZ NI YETU SOTE,WEWE,MIMI,NA YULE
 
hii habari ni kweli. stand leo asubuhi hayakuwepo. labda yamenunuliwa yote mapema. kuna radio Tanzania Daima haikusoma. mia
 
Nimelisoma Tanzania Daima kwenye mtandao,awajapepesa macho hata kidogo wameandika kama marando alivyo wakilisha kwa wanahabari.
 
tafuta Mtanzania, Nipashe, habari leo na majira utapata waraka huo?


Gazeti kama nipashe wameandika lakini kuna vitu wmaeficha ficha,Tanzania daima imekopi na kupesti taarifa ya marando kama ilivyo.
 
UHASAMA wa taifa mmefilisika kweli kweli; yaani nyie mnatarajia tamko la CHADEMA linapatikana kwenye gazeti la Tanzania Daima pekee ?
 
wow!!!!!!!!! acha nijisomee sasa,asante sana na kama kuna mwingine aweke upande wa Mtanzania na Nipashe ili uone kilichonifanya nitafute Tanzania Daima
 
Lisome hapa

Tanzania Daima - Sauti ya Watu na habari ya Marando hapa CHADEMA yafichua njama za vigogo

wakuu wasalaam?
leo asbh nimeamka nikiwa na wazo moja tu kichwani,la kununua gazeti la T-DAIMA ili nisome madai ya CDM kufichua siri za watu wa usalama kukihujumu chama cha CDM,sasa katika pita pita yangu amini usiamini mpk sasa nimepita sehemu 5 hakuna gazeti la T-daima na madai ya wauzaji wanasema kuna watu wamekuja wakanunua yote,mara wengine"leo mie nimeletewa copy3 tu" wengine copy 5

kama issue kujulikana ishajulikana toka jana,tumeisoma humu JF, sasa ya nini wanausalama wanahaha kununua magazeti mtaani?<sina hakika kama ni usalama> ama wanataka watz wa kawaida wacjui what is going on?



MY TAKE:
CCM TEKELEZENI SERA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI WANANCHI TUKO TAYARI KUWAUNGA MKONO.WAACHENI CDM WAFANYE KAZI ZAO KIUFANISI KWANI WANAWAKUMBUSHENI MAJUKUMU YENU KILA MNAPOJISAHAU,TZ NI YETU SOTE,WEWE,MIMI,NA YULE
 
Tayari nishaiona na sasa najikita kuisoma issue tena kwa mara ya pili
 
kwa mwendo huo basiiiii kwisha habari yao ukweli unazidi kujifunuwa kadri muda unavyoenda.kwanini wanunuwe hayo magazeti?kwa ajili ya nini haswa ndo sababu ya kununuwa hayo magazeti na nani kawatuma walionunuwa na kwa faida ya nani ili wananchi wakose haki yao ya msingi ya kupata habari,mfa maji haachi kutapatapa ngoja tuone mwisho wa hii movie i blv pamoja na mbinu na hila zote kila kitu kitakuwa wazii mwisho wa siku coz hakuna siri chini ya juwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom