Tuambie nukuu gani iliyotungwa hapo ......Ila kwa nini nao hao watunge hizo nukuu?
Huo ni uzushi na si vizuri hata kidogo.
Wahariri wa hilo gazeti hawana miiko kabisa.
Huwezi kumzushia mtu namna hiyo.
Wewe unafanya nini hapaNchi ya watu zaidi ya milioni 40 yenye kila aina ya shida zijulikanazo na Binadamu Dunia hii mnapoteza muda kujadili maneno ya Raisi wa nchi? Wewe ukifungua tu mlango wa nyumba yako unakumbana na kila aina ya matatizo yanayomkabili Mtanzania, unakuja kupoteza muda hapa kujadili maneno aliyotamka Raisi jukwaani?
Alitoa zoteBoss.. hapo ndio shida ilipo. Kuna kauli ambazo unaweza kuzipata na kuzithibithsa kuwa ni za Magufuli. Lakini ni sawa na yale ambayo Mugabe anadaiwa kusema. Kudai tu haitoshi, ni muhimu kuonesha kauli hiyo imetolewa wapi na lini na ikiwezekana kuweka clip. Kuna kauli ambazo alizitoa ambazo hakuna mtu anabisha kwani zinaweza kupatikana mahali popote (youtube kwa mfano).
sio wa Ku mchukulia serious mana magufuli anaongea tu bila kufikiria kuwa maneno yake yana impact gan kama kiongoziNiseme mimi binafsi siwezi kumsikiliza Magufuli akiongea...
Hivyo sijawahi kumsikiliza akihutubia mwanzo mwisho
Lakini mara nyingi kwa nafasi yake ya Urais chochote anacho ongea
huwa kinasambaa sana hivyo ukifika mitaani unasikia Magufuli kasema hivi
au vile........
Sasa leo baada ya gazeti la Raiamwema kufungiwa kwa kusema Magufuli
kasema 'watakaofika mwezi wa saba ni wanaume kwelikweli;
na 'Suruali za zamani msizitupe mtazihitaji'
maneno ambayo hata mimi nilisikia na kuamini yalitamkwa na Magufuli
nimeshangaa...sana.....na sasa najiuliza zile kauli zingine nilizosikia katamka
ni kweli alisema au nazo 'anasingiziwa?
1. 'Sikuahidi tetemeko'
2. 'bora unipe mimi kuliko kumpa mwanafunzi mimba'
3. wastaafu wengine wanawashwawashwa
4. huwezi kusaliti na uka survive tu
Na kauli zingine nyingi tu za kushangaza.....hizi sio za Magufuli?
kuna mwenye clip zake atuwekee humu?
Hasa hizo mbili za kubaki mjini hadi mwezi wa saba na suruali za zamani....
Maybe in Rwanda, I don't know. But in Tanzania you can air your opinions freely as long as you don't lie.You are now entering Rwanda. Please don't air your opinions
Aisee,hasa yule dilunga alie kua akiupigia chapuo udikteta kua ndo unaleta maendeleo.Licha ya kuijipendekeza na kukwepa mno kumuudhi Mtukufu..still wamefungiwa..
ha ha haaaa......
Wakuona aibu ni hao waliomlisha maneno ya uongo machasemboTeh teh teh, hivi rais haoni aibu kabisa?
swali siyo kwamba hakusema, swali ni alisema wapi, lini na nini... kwa mfano hiyo ya "suruali" ilitolewa wapi?Alitoa zote