Gazeti pendwa na maarufu la uchambuzi wa siasa na wa kijamii la Raia Mwema la leo 06/07/2011,toleo na.193,limejaa matangazo tu.Kati ya kurasa 36, 21 ni matangazo ya hotuba za kule Dodoma.Mimi kama msomaji wamuda mrefu hili limenikera.Mjirekebishe.
Ngoja nikalitafute kwanza maana na mimi ni msomaji wake mzuriGazeti pendwa na maarufu la uchambuzi wa siasa na wa kijamii la Raia Mwema la leo 06/07/2011,toleo na.193,limejaa matangazo tu.Kati ya kurasa 36, 21 ni matangazo ya hotuba za kule Dodoma.Mimi kama msomaji wamuda mrefu hili limenikera.Mjirekebishe.
Gazeti pendwa na maarufu la uchambuzi wa siasa na wa kijamii la Raia Mwema la leo 06/07/2011,toleo na.193,limejaa matangazo tu.Kati ya kurasa 36, 21 ni matangazo ya hotuba za kule Dodoma.Mimi kama msomaji wamuda mrefu hili limenikera.Mjirekebishe.
Gazeti pendwa na maarufu la uchambuzi wa siasa na wa kijamii la Raia Mwema la leo 06/07/2011,toleo na.193,limejaa matangazo tu.Kati ya kurasa 36, 21 ni matangazo ya hotuba za kule Dodoma.Mimi kama msomaji wamuda mrefu hili limenikera.Mjirekebishe.
Unanitia mashaka. umeanza kusoma magazeti lini?
Hapo ndipo inapothibitika kwamba gazeti hili si tishio kwa wserikali. Ndiyo maana serikali inaweka matangazo yake humo.
Gazeti pendwa na maarufu la uchambuzi wa siasa na wa kijamii la Raia Mwema la leo 06/07/2011,toleo na.193,limejaa matangazo tu.Kati ya kurasa 36, 21 ni matangazo ya hotuba za kule Dodoma.Mimi kama msomaji wamuda mrefu hili limenikera.Mjirekebishe.
ongeza na Mwananchi kamanda wanguNashukuru kwa taarifa ngoja nikajikamatie TZ daima na MwanaHalisi nadhani yatanitosha kwa leo.
Hakuna tena cha kuandika kuhusu EL na very soon there will be nothing to write about Chenge!