Kampuni ya Mwananchi Ltd imeanza kuyumba kiuchumi baada ya kushindwa kulipa deni walilokopeshwa na kampuni ya Nation Media Group ya Kenya.
Lengo la mkopo huo ni kuwezesha uchapishaji wa nakala 3,500,000 kwa siku na badala yake ni nakala 100,000 kwa siku huku nusu ikiwa returns.
Tayari wafanyakazi wa kampuni hiyo wameshaanza kuona mwisho wao katika kampuni hiyo hususani baada ya kutangaziwa kuwa wanaweza kuacha kazi kwa hiari.
Chombo hicho kimekuwa kikitoa machapisho ya mlengo fulani ili kupata msaada wa kiuchumi lakini bado hali imekuwa hairidhishi.
Lengo la mkopo huo ni kuwezesha uchapishaji wa nakala 3,500,000 kwa siku na badala yake ni nakala 100,000 kwa siku huku nusu ikiwa returns.
Tayari wafanyakazi wa kampuni hiyo wameshaanza kuona mwisho wao katika kampuni hiyo hususani baada ya kutangaziwa kuwa wanaweza kuacha kazi kwa hiari.
Chombo hicho kimekuwa kikitoa machapisho ya mlengo fulani ili kupata msaada wa kiuchumi lakini bado hali imekuwa hairidhishi.