mpinga shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 3,234
- 960
kwanza mwananchi litakopaje Nation group wakt ni haohao? Nation Group ndio wanamiliki gazt la mwananchi. mkuu uko siriaz mwananchi wanauza chini ya nakala laki moja kwa cku???? kama ni ivyo bas gazet kama Jambo leo watakuwa wanauza nakala mia moja kwa cku
Pole sana. Ila Mwananchi huuza nakala 25,000 kwa siku. Si kweli kwamba walijiwekea malengo ya kuuza 350,000 copies maana hata gazeti mama la Nation haliuzwi kiasi hicho. Nation circulation ni 120,000 tu.