Hili gazeti letu pendwa matangazo ya freemason yamekuwa mengi,imekuwa kama bango la wale waganga wa jadi na matapeli kuwekea matangazo ya freemason, kila kurasa za kati hadi mwisho hayo matangazo yamejaa na yamekaa kitapeli tu,kwanini wahariri wanaruhusu huo upuuzi.
Sent using
Jamii Forums mobile app