Jile79
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 17,668
- 13,237
Kibaya zaidi magufuli ameshajua utamu wa hiki kipendele cha kutokushitaki rais akiwa madarakani. Atakitumia ipasavyo!!Ndugu kwa hasira ulizonazo lazima utakuwa na cheti feki ama sivyo ulikuwa hewa si bure
Hapo tayari ameshawalazimisha wanasheria wasaini mikataba ya bormberdier na wala hatapeleka bungeni ijadiliwe. Ameshawalazimisha tayari wanasheria wasaini mkataba wa ujenzi wa chato international airport na hawezi kupeleka sheria husika ipitiwe bungeni na akili kubwa za upinzani.....